zubedasoud
Member
- Feb 1, 2017
- 91
- 117
Yaaani unamtafuta mtu alafu bado unaficha identity yake?Sintosahau nilipotapeliwa 1.2mil tsh,nilizotoa kwa ajili ya kupata ajira mwaka 2015 ,niliunganishwa na rafik yang wa karib ,sintosahau namtafta Hugo MTU anaitwa joji kulinge ,aliyedai ni afsa utumishi wa taasisi kubwa hapa nchini
Poleni sana.Tulitapeliwa weng aseee
MkomrTulitapeliwa weng aseee