Waungwana huu ni mtandao mkubwa sana,wako smart kimavazi,wanatumia magari mazuri mfano GX 110,mie walitaka kunipiga kwa kuniuzia MERCURY.kabla ya kununua nikaona bora nipate soko kwanza,nikakutanishwa na mnunuzi maeneo ya Lugaro jeshini ambaye alikuwa mzungu Mr Steve toka Ujerumani ambaye pia ni mwezao.Aiyeniokoa ni Mr wangu kwani nilikuwa ninaomba aniongezee cash.Mtandao huu una lugha zao,mfano anayetaka kupigwa wanamwita ZOBA,zoba mjanja mjanja anaitwa Man'gaa,Ukigundua kuwa anataka kupigwa wanasema Zoba limepata MASEKE!!,Wameibiwa wengi sana hata viongozi ambao hawawezi kusema kwa kuona aibu!!!