Masai wa Town
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 6,543
- 23,844
Naomba niwasanue..
Kampuni ya Paripesa inawatumia akina Sativa17. Ipo hivi: wanapewa mamilioni ya pesa na kampuni, wanasukiwa mikeka ya uongo(japo mara chache husika ya ukweli) Kisha Wana stake hela nyingi. Unakuta mkeka mmoja anaweka 700k na kutoa code na promo code anaisambaza kwenye magroup ya Whatsapp na page za mitandao ya kijamii.
Wanawashawishi watu ku stake hela nyingi kama wao. Kitakachofuata ni mikeka kuchanika kikatili sana. Wao wanakuwa hawana hasara kwa sababu hela siyo yao, ni ya Ponjoro. Wao wanalipwa fixed salary mwisho wa mwezi.
Zile stake kwao ni demo akaunt. Sio real deposit Money na hazitoki. Zinazungushiwa pale pale kwa akaunt ndio mana anakuonyesha stake tu na sio salio halisi.
Mkeka pekee wa kweli ni wa kusuka mwenyewe.
Kampuni ya Paripesa inawatumia akina Sativa17. Ipo hivi: wanapewa mamilioni ya pesa na kampuni, wanasukiwa mikeka ya uongo(japo mara chache husika ya ukweli) Kisha Wana stake hela nyingi. Unakuta mkeka mmoja anaweka 700k na kutoa code na promo code anaisambaza kwenye magroup ya Whatsapp na page za mitandao ya kijamii.
Wanawashawishi watu ku stake hela nyingi kama wao. Kitakachofuata ni mikeka kuchanika kikatili sana. Wao wanakuwa hawana hasara kwa sababu hela siyo yao, ni ya Ponjoro. Wao wanalipwa fixed salary mwisho wa mwezi.
Zile stake kwao ni demo akaunt. Sio real deposit Money na hazitoki. Zinazungushiwa pale pale kwa akaunt ndio mana anakuonyesha stake tu na sio salio halisi.
Mkeka pekee wa kweli ni wa kusuka mwenyewe.