Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Plitokea mkutano wa madaktari bingwa kutoka nchi 3, China, Ujerumani na Tanzania. Wakawa wanajadili mafanikio yaliyofanywa katika nchi zao.
Mchina akaanza "kwetu alizaliwa mtoto hana mkono tukamwekea wa bandia, na sasa ni mpiganaji wa karate.
Mjerumani akasema hiyo kidogo... "kwetu alizaliwa msichana hana miguu yote tukamwekea ya bandia na sasa ni mkimbiaji olimpiki na ana medali tatu za dhahabu.
Mtanzania akacheka , akasema kwenu bado hamjafikia rekodi yetu, ...sisi hapo Bagamoyo alizaliwa kijana hana kichwa tukamwekea nazi na sasa ni RAISI...,
Mchina akaanza "kwetu alizaliwa mtoto hana mkono tukamwekea wa bandia, na sasa ni mpiganaji wa karate.
Mjerumani akasema hiyo kidogo... "kwetu alizaliwa msichana hana miguu yote tukamwekea ya bandia na sasa ni mkimbiaji olimpiki na ana medali tatu za dhahabu.
Mtanzania akacheka , akasema kwenu bado hamjafikia rekodi yetu, ...sisi hapo Bagamoyo alizaliwa kijana hana kichwa tukamwekea nazi na sasa ni RAISI...,