Utani mwingine bhana!!!

EMMYGUY

JF-Expert Member
Aug 6, 2015
10,850
24,826
Baba anamuuliza mtoto wake wa kiume:

Baba: Ukiwa mkubwa utapenda ufanye kazi gani?
Mtoto: Mimi napenda sana Udaktari!!.
Baba: Kwanini?
Mtoto: Kwa sababu ndio kazi pekee unayoweza kumuamuru mke wa mtu avue nguo na akavua bila kumtongoza, na bado mume wake anakulipa pesa.
Baba: Duuuh....!!! Hii hasara kubwa.
 
Back
Top Bottom