EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 10,850
- 24,826
Baba anamuuliza mtoto wake wa kiume:
Baba: Ukiwa mkubwa utapenda ufanye kazi gani?
Mtoto: Mimi napenda sana Udaktari!!.
Baba: Kwanini?
Mtoto: Kwa sababu ndio kazi pekee unayoweza kumuamuru mke wa mtu avue nguo na akavua bila kumtongoza, na bado mume wake anakulipa pesa.
Baba: Duuuh....!!! Hii hasara kubwa.
Baba: Ukiwa mkubwa utapenda ufanye kazi gani?
Mtoto: Mimi napenda sana Udaktari!!.
Baba: Kwanini?
Mtoto: Kwa sababu ndio kazi pekee unayoweza kumuamuru mke wa mtu avue nguo na akavua bila kumtongoza, na bado mume wake anakulipa pesa.
Baba: Duuuh....!!! Hii hasara kubwa.