Utamu wa ndoa ni wanandoa wote wawili kila mtu kujua wajibu wake na kutimiza wajibu kwa mwenza wake na familia yake kwa ujumla.Wewe jistiri,itunze ndoa yako ,jiheshimu lakini kama upande wa Pili haujitambui,bado ndoa yako itakua chungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
