Utamu wa ndoa kujitunza

Utamu wa ndoa kujitunza

Ila kama nawewe nihuyo wa kwenye DP


Basi niseme, Wewe sio mke wamtu, wewe sio Mwanamke kwaajili ya mke wa MTU.


Sasa sijui nikiweke kwenye Udada du???au uslay??? Au vepe


Embu jiweke Mwenyewe kwenye kundi unalofaa mkuu
Profile aliyoiweka inasadifu tabia zake hata kama siyo yeye maana mtu hupenda kitu anachokihusudu
 
Profile aliyoiweka inasadifu tabia zake hata kama siyo yeye maana mtu hupenda kitu anachokihusudu
Nakubaliana na wewe asilimia 100% Mkuu.


MTU hupendelea kile anachokihusudu.


Ndio ukikuta mwanamke anatetea kuliwa Tgo ...uyo analika.

Ukikuta anatetea uchepukaji...uyo ni sugu...


Ukikuta kama mtoa mada wa Avatar za ivi.. Ndivo alivyo .


Hana Tofauti na Avatar yake.
 
Nakubaliana na wewe asilimia 100% Mkuu.


MTU hupendelea kile anachokihusudu.


Ndio ukikuta mwanamke anatetea kuliwa Tgo ...uyo analika.

Ukikuta anatetea uchepukaji...uyo ni sugu...


Ukikuta kama mtoa mada wa Avatar za ivi.. Ndivo alivyo .


Hana Tofauti na Avatar yake.

Huyo anaonekana hajui kujisitiri, ni mtu wa kupenda kupost mapicha Instagram na Fb
 
Hivi kritika na miss Natafuta walienda wapi?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom