Ni jambo lisilo pingika kuwa mapenzi ni tunu ya ajabu mno tulo tunikiwa na MUNGU, penzi ni tamu hasa inapo kuwa hivi;
1 ukipata unayempenda na yeye anakupenda
2 Ukiwa unadekezwa dekezwa kimahaba.
3 Ukipata anayejua kupenda na kufariji.
4 Ukipata anayekupatia vizawadi zawadi.
5 Tendo lenyewe la mapenzi ndo hukamilisha utam wa haya mapenzi.
1 ukipata unayempenda na yeye anakupenda
2 Ukiwa unadekezwa dekezwa kimahaba.
3 Ukipata anayejua kupenda na kufariji.
4 Ukipata anayekupatia vizawadi zawadi.
5 Tendo lenyewe la mapenzi ndo hukamilisha utam wa haya mapenzi.