Utamu wa mabasi ya mwendokasi

Utamu wa mabasi ya mwendokasi

Hii safi sana, kuna wakati nilitaka kwenda kimara kuonana na jamaa..akanipigia akasema na yeye anakuja wakati huo nishapanda brt..nikashuka nikaenda upande wa pili nikapanda lingine tukakutana town
KWA MTEREMKO TU,DUH KWELI HATUJAMBO
 
*Kitu pekee ninachokipenda kwenye mabasi ya _ 'mwendokasi'_ ni kuwa ukipanda hata ukikutana na unayemjua roho haikupasuki kumlipia nauli*

Duh, wewe kiboko...mkikutana kwenye foleni ya kulipia nauli inakuwaje, na hasa akiwa nyumba yako wewe??...
 
Hata ukikutana na mtu anayekudai kwa siku nyingi mfano umepandia Ubungo Terminal, unashukia tu mbele pale Tanesco umbali wa mita mia 2 tu unabadili basi kwa nauli ile ile.
Huu ndio mwendokasi bwana.
Hii kali...
 
Kwa wale mjukuu wangu .. Mtoto wangu.. Dada yangu .. Kaka yangu atalipa naona inawauma
 
Nakuheshimu sana dada FaizaFoxy sikujui hunijui ila kuniita punguani umenikosea heshima mdogo wangu,nina ubaya gani nawe,mungu hapenda dada yangu.
Nisome tena, au ukisoma huelewi? Kwa kuwa lilikuwa ni swali na umeamua kulithibitisha kwa kujiita punguani basi na iwe hivyo.

Nikikujuwa wewe utanizidishia au kunipunguzia nini?

Labda uwe over 65 ndiyo niwe mdogo kwako, kumbuka, mdogo kwako lakini si mdogo wako. Wadogo zako ni wale uliozaliwa nao. Kwetu mwiko mtu ambae hujazaliwa nae ukajinasibisha nae. Kumbuka na hilo.
 
Nisome tena, au ukisoma huelewi? Kwa kuwa lilikuwa ni swali na umeamua kulithibitisha kwa kujiita punguani basi na iwe hivyo.

Nikikujuwa wewe utanizidishia au kunipunguzia nini?

Labda uwe over 65 ndiyo niwe mdogo kwako, kumbuka, mdogo kwako lakini si mdogo wako. Wadogo zako ni wale uliozaliwa nao. Kwetu mwiko mtu ambae hujazaliwa nae ukajinasibisha nae. Kumbuka na hilo.

Unataka mboli?
 
Allahumma inni swaim.

Hasbuna Allahu wa neema l'Wakil
 
Back
Top Bottom