RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,623
- 136,104
Kwenu Tanroads na wahusika wengine wa usalama barabarani. Taa za kuongoza magari katika makutano ya Barabara ya Kilwa na Barabara ya Kawawa zimesetiwa kimakosa. Taa hizi zinaruhusu magari yaa kawaida kunyoosha moja kwa moja na mabasi ya mwendokasi kukata kulshoto na kunyoosha kwa wakati mmoja. Ilivyotakiwa iwapo taa zitaruhisu magari kwenye njia ya kawaida kunyoosha na mabasi nayo yanyooshe. Na iwapo taa za mwendokasi zitaruhusu mabasi kukata kushoto ilibidi magari madogo yasimamishwe na taa hizo.
Kwa wasiojua nazungumzia eneo gani ni pale Chuo cha Diplomasia au Malao Maluu ya Uhamiaji.
Kwa wasiojua nazungumzia eneo gani ni pale Chuo cha Diplomasia au Malao Maluu ya Uhamiaji.