Hili tamko ni zaidi ya matamko,nadhani hata Maalimu Seifu na Ukawa wanalionea wivu hili tamko,kwenye ''mwendokasi''kila mtu anabeba msalaba wake.*Kitu pekee ninachokipenda kwenye mabasi ya _ 'mwendokasi'_ ni kuwa ukipanda hata ukikutana na unayemjua roho haikupasuki kumlipia nauli*
Sisi tuliozowea staff hakuna!!!!!!!!Vile Vile 'machungu' mengine ya mabasi ya mwendo kasi ni kwa kuwa hawana cha ofa za walimu wala wajeda.
Kwa kuwa mashine za DART hazimtanbui Mwalimu wa Makonda wala wale walinda usalama wetu.
Unakuwa na kadi tu hakuna kukaa foleniTatizo ni pale unapokutana nae jaribu kabisa na eneo la kukatia tiketi na wewe ndio uko mbele. Kuna watu wanataaluma ya kuzamia mkuu, utalimlipia tu nauli.
*Kitu pekee ninachokipenda kwenye mabasi ya _ 'mwendokasi'_ ni kuwa ukipanda hata ukikutana na unayemjua roho haikupasuki kumlipia nauli*