Confuse=kuchanganya. Hili neno bwana nimekutana na wa2 kadhaa wa afrika na nje (nnje) ya afrika wanalitamka [konfAs] mimi nimezoe kulitamka [konfYUZI] tangu sekondari. Which is which kwa wale wenye kamusi za kueleweka.
Hata mi nna soft copy dictionary ya wordweb nikibyofa ka alama ka spika kanatamka [kun'fyooz]. Niki2mia na hiyo ya kwako pia. Na-conclude kua hawa wa2 nlokutananao basi nao hawajui matamshi ya hili neno.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.