Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,701
- 6,658
Ha ha haMtakula kwa macho sana
Ha ha haMtakula kwa macho sana
Kumbuka hapa tunatoa tahadhari ili kulinda heshima yao, akiwemo dada yako, tunataka watunze heshima zaoNi mbaya Sana kupata tabu juu ya lifestyle ya mtu mwingine, tuongee ukweli wanawake wakitembe uchi Kama taifa tunapata hasara gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mbaya Sana kupata tabu juu ya lifestyle ya mtu mwingine, tuongee ukweli wanawake wakitembe uchi Kama taifa tunapata hasara gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
acha ubabe weka picha mentali wetu
Dadako ndio jina lake na Mkuu ndio jina la ukoo au ipoje?
Siyo sawa kabisa. Kututamanisha tu.Habari za mchana huu wakuu?..
njooni mtoe maoni kuhusu hii kasumba mbona wanawake wasikuizi wakivaa nguo vyupi au makufuli yanaonekana au yanajichora?
hii kitu ni sahihi na je mbona Enzi hizo zamani hatujawahi kuona kitu kama icho?
au viongozi wa kike mbona hawavai ivyo mfano mama salma, Anne makinda, mbona hao hatujawahi kuona chupi imejichora?
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za mchana huu wakuu?..
njooni mtoe maoni kuhusu hii kasumba mbona wanawake wasikuizi wakivaa nguo vyupi au makufuli yanaonekana au yanajichora?
hii kitu ni sahihi na je mbona Enzi hizo zamani hatujawahi kuona kitu kama icho?
au viongozi wa kike mbona hawavai ivyo mfano mama salma, Anne makinda, mbona hao hatujawahi kuona chupi imejichora?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe pia huwa una vaa hivyo rafiki?Makubwa lol
Natembea uchi mie.Wewe pia huwa una vaa hivyo rafiki?
Kwani ukumuona mme wake wakati wanachukua fomu Mbeya Mjini? fuatilia nyuzi humu utamuona mme wake
Kivipi?Hasara tupu