Mpap Ndabhit
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 237
- 239
Binafsi nilianza kumfahamu na kumkubali Mheshimiwa Makonda baada ya kuchukua hatua na kufanya HARAKATI za KUPAMBANA NA WAUZAJI WA MADAWA YA KULEVYA. Mpaka kesho nampenda namwamini Makonda.
Katika kipindi cha Nipashe ITV asubuhi ya Leo vijana wachimba madini wilaya ya chunya wanawaomba viongozi wa serikali na mheshimiwa Makonda kuwasaidia wananyanyasika na wawekezaji wenye Hela. Makonda aje awasaidie!
Makonda Utakuja lini Mbeya, mapokezi makubwa yanakusubiri, vijana wa bajaji, bodaboda, machinga, wakulima, wenye migogoro ya ardhi, wanayo mengi ya kukwambia uwasaidie kuwapazia sauti zao kwa mawaziri.
Lini unakuja Mbeya Makonda. Wananchi Wana Imani na chama chako, na Mbunge wao Tulia Ackson karibu Mbeya.
Katika kipindi cha Nipashe ITV asubuhi ya Leo vijana wachimba madini wilaya ya chunya wanawaomba viongozi wa serikali na mheshimiwa Makonda kuwasaidia wananyanyasika na wawekezaji wenye Hela. Makonda aje awasaidie!
Makonda Utakuja lini Mbeya, mapokezi makubwa yanakusubiri, vijana wa bajaji, bodaboda, machinga, wakulima, wenye migogoro ya ardhi, wanayo mengi ya kukwambia uwasaidie kuwapazia sauti zao kwa mawaziri.
Lini unakuja Mbeya Makonda. Wananchi Wana Imani na chama chako, na Mbunge wao Tulia Ackson karibu Mbeya.