Wananchi kuwa na imani na Paul Makonda katika kutatua changamoto zao, viongozi wa serikali hamuoni aibu na kwamba hamtoshi?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,054
49,742
Inashangaza na kusikitisha kwamba Viongozi wa Serikali wenye dhamana kuanzia Mawaziri Hadi Watendaji wa Vijiji Kushindwa kutatua Changamoto za Wananchi ambao wanawahudumia Kila siku badala yake watu kuwa na Imani na Makonda ambae hana mamlaka ya kiserikali ya kuzitatua,hivi nyie viongozi Hamuoni Aibu? Je mumejipima mnatosha?

Kwa nini hamfanyi mikutano na vikao mara Kwa mara na Wananchi kiasi kwamba waamini Makonda ndio myetezi wao? Kazi zenu hasa ni zipi?


View: https://www.instagram.com/reel/C2YyeumMAF_/?igsh=MWxiNmxzZnQzYzMwZw==

My Take
Kwa Mwendo huu ni Bora awamu ijayo Rais awe Makonda Ili mpelekewe moto kama alivyofanya Mwendazake.

Inakera sana kuwa na Viongozi ngazi zote lakini Kuna Changamoto za Wananchi za miaka na mikaka.

View: https://www.instagram.com/p/C2YancKi1tK/?igsh=MTI0MmJ2bnJmbXMxcQ==
 
Nchi haina kiongozi aliyeopo ni dhaifua naomba aliowateua unategemea nini hayo ndiyo matokeo na hamjasema!
Haitegemewi Rais aende Kila mtaa kutatua shida za watu wakati ana wateule,hiki ndicho kilochangia Jiwe Kufa mapema Kwa sababu unabishana na Watendaji mda wote na wengine wanaishia kukujibu vibaya unapatwa na hasira zaidi.

Njia Bora ni kama hii hii ya kutumia viongozi wa siasa kufanya ziara ikibainika kuna shida sehemu Rais afukuze wahusika mara Moja kama huko Tanga then Watatoka kwenda Kwa Wananchi kutatua Changamoto Zao.
 
Haitegemewi Rais aende Kila mtaa kutatua shida za watu wakati ana wateule,hiki ndicho kilochangia Jiwe Kufa mapema Kwa sababu unabishana na Watendaji mda wote na wengine wanaishia kukujibu vibaya unapatwa na hasira zaidi.

Njia Bora ni kama hii hii ya kutumia viongozi wa siasa kufanya ziara ikibainika kuna shida sehemu Rais afukuze wahusika mara Moja kama huko Tanga then Watatoka kwenda Kwa Wananchi kutatua Changamoto Zao.
Tamko moja tu la raisi linatosha huo mtindo wa makonda hayo ni maigizo ila kiongozi tuliye nae hana uwezo wa kudhibiti vibaka alio wateua,nani alithubutu kumjibu magu nilitee kipande kimoja tu cha kumbu kumbu!
 
Tamko moja tu la raisi linatosha huo mtindo wa makonda hayo ni maigizo ila kiongozi tuliye nae hana uwezo wa kudhibiti vibaka alio wateua,nani alithubutu kumjibu magu nilitee kipande kimoja tu cha kumbu kumbu!
Tamko la kufanyaje? Mwendazake alitoa matamko na kwenda front lakini wapi ila unafuu uliokuwepo.

Bora Makonda aendelee kufanya hivi hivi, tayari amemtumbulisha DED.

Kwanza Huwa nashangaa unakuta eneo Lina Waziri kabisa na ni mjumbe wa Baraza la Madiwani lakini Changamoto ziko pale pale.

Mwisho sio kazi ya Rais kwenda mitaani kusikiliza kero.
 
Tamko la kufanyaje? Mwendazake alitoa matamko na kwenda front lakini wapi ila unafuu uliokuwepo.

Bora Makonda aendelee kufanya hivi hivi, tayari amemtumbulisha DED.

Kwanza Huwa nashangaa unakuta eneo Lina Waziri kabisa na ni mjumbe wa Baraza la Madiwani lakini Changamoto ziko pale pale.

Mwisho sio kazi ya Rais kwenda mitaani kusikiliza kero.
Huyo DED ameteuliwa na nani tuanzie hapo na aliapishwa na nani hiyo ni alama tosha ya aliyopo juu hajui anachokifanya unajaribu kutetea udhaifu waziri afanye nini nae anakula eneo lake aliyemteua wala hataki kufuatilia kinachoendelea kifupi hali ni mbaya serikali imepoteza uwajibikaji!
 
Back
Top Bottom