Duniani sijawai kupata raha yeyote nimezaliwa bongo nimefia bongo ,sijawai kuinjoy ndani ya jiji lolote dubai,london ,newyork wapiwapi nilipasikia tu nataka na mimi nifurai kwenye hilo jiji la ukweli
Ni ahadi uliyoniahidi kupitia maandiko yako matakatifu,
Siku zote niliamini ktk jina lako na kuyaishi maagizo yako,
Na leo siku imewadia nina haki ya kwenda nawe mbinguni.
yoyo mbona unatuletea dhambi nyingine huku.
MUNGU huwezi kuzubutu hata kuongea naye,
ana utukufu wa ajabu, sanasana ukisikia kishindo chake utazimia tu kama siyo kufa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.