Utajuaje nguo inachuja kabla ya kuinunua?

Hii mikasa inawapata watu wengi sana,
Pale unapoinunua nguo nzuri kabisa na kufika nayo nyumbani,
kimbembe unakipata wakati wa kuifua, Unakuta rangi yote inachujuka na nguo kupoteza ubora wake wa kimuonekano.
Okay Naomba tubadilishane ujuzi wa jinsi ya kuitambua nguo inayochuja kabla ya kuinunua,
na kipi ukifanye endapo utakuta nguo yako inachuja...?
Kumbe hata wewe hujui?
Nimesoma kwa shauku kubwa kumbe umeleta kilio sio faraja haha! Everything is stunna
 
Binafsi mimi huwa nikienda kununua jeans hizi huwa nakuwa na leso nyepesi zile...nkifika nakiweka mate kidogo alafu nasugua kwenye nguo husika, lazima kitatoka na rangi tu. Ivo tu yan
 
Kumbe hata wewe hujui?
Nimesoma kwa shauku kubwa kumbe umeleta kilio sio faraja haha! Everything is stunna
Najua sana, ila nahitaji maoni ya wengi,
mimi njia nlokuwa natumia ni kwenda kuiweka kwenye maji ya bahari na kuianika...
 
Back
Top Bottom