IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,468
- 7,391
Ukiona mwanamke amefikia hatua hiyo...jua..wewe mwanaume ni boya.Mwanaume akitoka nje ya ndoa kuna sababu, wengine hulazimishwa na wake zao, kwa sababu wengine hunyimwa haki zao za ndoa.
Ukiona mwanamke amefikia hatua hiyo...jua..wewe mwanaume ni boya.Mwanaume akitoka nje ya ndoa kuna sababu, wengine hulazimishwa na wake zao, kwa sababu wengine hunyimwa haki zao za ndoa.
hapo unazungumzia wale juniors kabisa.....akiwa mkongwe kidogo tu humpati kiboya hivyo!Atakuwa anashtuka shtuka hajiamini mf.
Amezoea akija hakusalimii mpaka umuanze ila akiwa na wewe anajipendekeza mke wangu umependezaa leo mmeshindaje na wengine huzidisha upendo wengine hupunguza nakuwa na hasira nakutafuta futa watoto ukimdai matumizii anajawa na jazba ile ingine iko wapi uliitumiaje anakuwa mchumi sana.
Nashukuru kwa kulitambua hilo mkuu.Wote mngekuwa hivyo.....amani teeeele majumbani.wala usihangaike utafiti unasema kati ya wanaume 10, 7 wanamichepuko wee mkumbatie tuu akupe haki ya msingi.........ya kukukuna aje home kwa wakati i mean akuheshimu wanaume wameumbwa kwa matamanio walahi hata atoke kushuka kifuani mwako saa hiyo hiyo akikatiza gigy mane kavaa kihasara anamtamani ................jitahidi kumfanyia mambo ambayo atakuwa anakutamani anakuwaza na kukukumbuka hata akichepuka anajishtukia na kujiheshimu
pole sana
...... ya moyo!anatafuta magonjwa tuu huyu......
Ujue ili iweje...... Naukishajua??Habari, bila shaka mu wazima.
Swali langu ni je utajuaje kama mwanaume katoka nje ya ndoa pindi mkikutana baada ya wiki moja au zaidi?
Habari, bila shaka mu wazima.
Swali langu ni je utajuaje kama mwanaume katoka nje ya ndoa pindi mkikutana baada ya wiki moja au zaidi?
baada ya wiki moja? embu scga utani unaweza kumgundua baada ya lisaa tigauti na hapo unajidanganya labda mwenzio kama ni wale wenye tu dushe twa kupepea,Habari, bila shaka mu wazima.
Swali langu ni je utajuaje kama mwanaume katoka nje ya ndoa pindi mkikutana baada ya wiki moja au zaidi?
nanyie na vibamia vyenu mtaturidhishajeHamtaki kufanya mazoezi,mna vitambi,michirizi kibao,wowowo zenye milima na mabonde e.t.c,sasa hapo mtaturidhishaje????
na mwanamke akitoka nje ya ndoa sababu Ni niniMwanaume akitoka nje ya ndoa kuna sababu, wengine hulazimishwa na wake zao, kwa sababu wengine hunyimwa haki zao za ndoa.
Mimi sina kibamia,nina dyudyu kubwa!nanyie na vibamia vyenu mtaturidhishaje
au hujui kwamba mwanamke naye usipomridhisha atachepuka
Ataisigina kisawasawa...ila usitafute matatizo yaache yaje yenyewe, BTW usimchunguze sana bhata, hutakaa ule nyama yake....asali ni tamu sana lakini unajua mojawapo ya material yake ni kinyesi?Habari, bila shaka mu wazima.
Swali langu ni je utajuaje kama mwanaume katoka nje ya ndoa pindi mkikutana baada ya wiki moja au zaidi?
Daah umeongea ukwel mtupu mpka nafikiria kukaacha kimchepuko changuUnataka ujue? Ukijua inakusaidia nini? Ukijua utainusuru ndoa yako Au utaharibu, unahis unauwezo wa kumuacha Au Ukijua utalia na kugombana tu.
Binafsi Kuna mambo staki kujua Yani yeye ndo anifanye nijue sio niyatafute mwenyewe. Cha kujiumiza kama unawatoto ushindwe kuwalea vizuri kisa nn. Mwanaume kama anakujali anaijali familia anajiheshimu hakujiii usiku hamna dalili zozote za kuisumbua familia unataka ujue ili nini. Mm Mwanaume akichepuka akaweza kufanya nisijue akaweka mipaka kati ya familia na mchepuko sina haja ya kumfatilia. Ndugu achaana na hawa watu. Wape uhuru wakumbushe majukumu yao na mipaka yao. Otherwise utakufa uwaache wanao. Haiihitaji hasira