Utajuaje kama mwanaume katoka nje ya ndoa?

Utajuaje kama mwanaume katoka nje ya ndoa?

We ni mwanaume? Nijibu kwanza ndipo niseme sababu. Kupiz in 3 min is beyond impossible
Beyond impossible?
Watu wakifanya cha cha cha cha cha, kitu hikoooo we unasema beyond impossible
 
Mie janaume langu nalijua na lenyewe linajua kama najua
 
Ataisigina kisawasawa...ila usitafute matatizo yaache yaje yenyewe, BTW usimchunguze sana bhata, hutakaa ule nyama yake....asali ni tamu sana lakini unajua mojawapo ya material yake ni kinyesi?

[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji12]
 
hahahaha usicheke sasa unacheka nini mwenyewe unilishe, uninenepesha halafu unikimbie ETI SIKURIDHISHI tehetehe
Unatakiwa ujicontrol mwenyewe maana ukinenepa Sana utakosa mvuto Na kushndwa kukata kiuno freshy
 
wala usihangaike utafiti unasema kati ya wanaume 10, 7 wanamichepuko wee mkumbatie tuu akupe haki ya msingi.........ya kukukuna aje home kwa wakati i mean akuheshimu wanaume wameumbwa kwa matamanio walahi hata atoke kushuka kifuani mwako saa hiyo hiyo akikatiza gigy mane kavaa kihasara anamtamani ................jitahidi kumfanyia mambo ambayo atakuwa anakutamani anakuwaza na kukukumbuka hata akichepuka anajishtukia na kujiheshimu


pole sana
Natamani wanawake wote wangekuwa kama wewe.
 
Sperm zinakua nyepesi mno ,hazitoki zile first class
Sasa sijuwi utapimaje
 
Hivi zamani ma babu walikuwa wnachepuka??? Kama siyo, kwa sasa nini kimtokea mpaka kuchepuka kuwa ni neno maarufu midomoni mwa watu!?
 
hawakuchepuka ila walikua na wake wengi sana mtu mmoja wake 12 sasa si sawa na michepuko tu hiyoo
 
Habari, bila shaka mu wazima.

Swali langu ni je utajuaje kama mwanaume katoka nje ya ndoa pindi mkikutana baada ya wiki moja au zaidi?
Unatafuta maradhi ya moyo tu aiseeee
 
mpige kibao cha mapumbu ukiona kaugulia Zaidi ya nusu saa ujue amechepuka
 
Back
Top Bottom