Jamani wadau laki moja tu? Kama wife material na through her actions najua ananipenda, hata kama sina nitakopa popote nimtumie, but kama ndo wale macho juu juu, nitamjib tutaongea badae... Ila laki moja kwa mtu nitayemlipia mahali mamilion... Laki kitu gani hata milion nitakopa but kwa sababu inayoeleweka....
Vinchenchede thubuutu wataisoma namba maana sichelewi kumjibu mi mwenyewe nilikuwa nataka nikuazime laki 2 nimepata ajali
unapata sms inayokuamsha asubuhi kutoka kwenye ndoto nzuri " honey mi nadaiwa naomba uniazime sh laki moja tuu....luv u so much mwaaah" utachukua uamuzi gani wa busara , ,
ooh...oooh!!laki kitu gani laki si pesa...
si unampa?
mimi kweli kama mwanaume hawezikunisaidia wakati nina shida...siwezi kukaa nae..
mwanaume wa kitandani tu wa nini?
maisha ni mambo mengi .hapo kitandani ni bonus tu..
laki kitu gani laki si pesa...
si unampa?
Mimi kweli kama mwanaume hawezikunisaidia wakati nina shida...siwezi kukaa nae..
Mwanaume wa kitandani tu wa nini?
Maisha ni mambo mengi .hapo kitandani ni bonus tu..
Laki kitu gani laki si pesa...