Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,611
maisha kusaidiana bwana ndo maana ya watu kuwa pamoja sio mtu unaomba ka laki unakuja kuazisha mthread huku...laki kitu gani bwanaaaNa hata mimi mwanamke wa kitandani tu simtaki, mahusiano ni zaidi ya kulala pamoja, kama najua kabisa huu mzigo ni wife material na unanipenda kweli hata milion omba nitakutumia hata kama sina nitakopa, but mwanamke wa bata tu tuliokutana kimjini mjini umezimikia mkoko... He he he utaisoma namba hata 10 sikupi kizembe zembe nikupe nafasi ujikajitambe umenichuna,,, kavu kavu nakujibu sina, as juzi kati tu kuna kicheche cha chuo kilinipiga mzinga nikakijibu sina kikajifanya kuuchuna na mimi nikauchuna, jana kimenipigia eti leo kinakuja geto tuongee maana anajua simpendi, sasa sijui anafata nini kama hapendwi