jamani tuoneeni huruma watoto wa kiume,maisha yamekuwa magumu ati.si unampa?
mimi kweli kama mwanaume hawezikunisaidia wakati nina shida...siwezi kukaa nae..
mwanaume wa kitandani tu wa nini?
maisha ni mambo mengi .hapo kitandani ni bonus tu..
laki kitu gani laki si pesa...
hahahahaaaaa hii kiboko!ulitaka akuamshe na meseji ya 'baby arv zangu zimeisha?'
si unampa?
mimi kweli kama mwanaume hawezikunisaidia wakati nina shida...siwezi kukaa nae..
mwanaume wa kitandani tu wa nini?
maisha ni mambo mengi .hapo kitandani ni bonus tu..
laki kitu gani laki si pesa...
Mkuu hebu rekebisha kauli yako, hivi unaweza kumpa binti kitu ambacho Baba yake hawezi kumtimizia? mpaka wewe unamuona na ukampenda unajuwa Baba yake ame sacrifice vingapi mpaka wewe umemtamani bintiye?
Mimi nikipata msg kama hiyo fasta natuma M-Pesa laki mbili na Air time ya shilling elfu kumi ili awe na access ya kupiga simu na siyo kutuma msg, na kama ni msg basi ziwe ni Romantic msg tu.
Kumbe humu kuna mijitu mibahili kwelikweli!!.....kama mnaona kumgharamia mchuchu wako ni ghali nenda kanunuwe mademu wa viwanja. Ni nani aliyewaambia kuna mbunye za mazoezi?
ulitaka akuamshe na meseji ya 'baby arv zangu zimeisha?'
Jamani wadau laki moja tu? Kama wife material na through her actions najua ananipenda, hata kama sina nitakopa popote nimtumie, but kama ndo wale macho juu juu, nitamjib tutaongea badae... Ila laki moja kwa mtu nitayemlipia mahali mamilion... Laki kitu gani hata milion nitakopa but kwa sababu inayoeleweka....
Vinchenchede thubuutu wataisoma namba maana sichelewi kumjibu mi mwenyewe nilikuwa nataka nikuazime laki 2 nimepata ajali
ulitaka akuamshe na meseji ya 'baby arv zangu zimeisha?'
Ntaisoma
mi ntamjibu "toka zako mi sio atm yako.
Kama unayo na unampenda then mpatie,kwani tatizo li kwapi?mwanaume mzima laki inakutoa jasho??kha!