UlakozeKumekuchaaaaaaaaaaa wapi Bantu Lady kitalembwa Lovelovie Wigelekelo @St anne mafian Carter kiduku mpapaso leadermoe Antonio de Guzman Restless Hustler Doctor G and Labani og
Kuna MCHUMBA na MALAYA.Potti naona unarudia makosa yale yale ya vijana wengi. “CHUNGA MCHUMBA HASOMESHWI”
Hivi mkuu unadhani shetani yuko kama unavyomdhania?,unadhani nguvu nilizotumia hapo nyuma kutafuta maisha ndizo zingetumika kukataa masharti?,Jaribu uone mkuu utakuja kusimulia hapaYeah risk aliyochukua wkt anatafuta maisha ni kubwa mnooo lkn sasa utelezi na kutokufuata mashariti kumemgalimu. Maana shariti usipakie abiria seat ya mbele simple. Yeye kaenda piga mitungi kasahau hilo shariti. Kazi kubwa sana alishafanya mpaka kutembea na msukule. Matanuzi ya Audi, mitungi na mademu imemponza masta.
safi sana kakaKuna MCHUMBA na MALAYA.
Mchumba anasomeshwa ila Malaya hasomeshwi,kitu kibaya sana ni kuwa wanawake wengi sikuhizi ni Malaya waliojivika Joho la Uchumba na ndipo kasheshe linapoanzia.
Rehema now ndiye mke wangu mkuu.
Nitakutag mimJamn mbona mm sina mtu wa kunitag au kumtag, niko pekeangu pekeangu. Natafuta rafiki awe wa kike mm niwa kike pia
Huwezi kuelewa kwasababu wengi mnasoma ili muwe wa kwanza kukomenti negativity na siyo kusoma ili muelewe,ni wachache sana waosoma na kuelewa bali wengi mnasoma ili kuwahi kukomenti matusiIla kwenye story ile ya kijijini kwa kina Monica Kuna sehemu ya comment alikua anabishana na jamaa kuhusu ufaulu wa shule za kata umughaka akasema alipata div 1 ya point 8 pcb!!! Nikaja kukuta mahali tena amesema alifeli kisa mtoto wa kitanga!! Mpaka Leo simuelewi
Huwezi kuelewa kwasababu wengi mnasoma ili muwe wa kwanza kukomenti negativity na siyo kusoma ili muelewe,ni wachache sana waosoma na kuelewa bali wengi mnasoma ili kuwahi kukomenti matusi
Kuna MCHUMBA na MALAYA.
Mchumba anasomeshwa ila Malaya hasomeshwi,kitu kibaya sana ni kuwa wanawake wengi sikuhizi ni Malaya waliojivika Joho la Uchumba na ndipo kasheshe linapoanzia.
Rehema now ndiye mke wangu mkuu.
Asante Boss ledi.Kumekuchaaaaaaaaaaa wapi Bantu Lady kitalembwa Lovelovie Wigelekelo @St anne mafian Carter kiduku mpapaso leadermoe Antonio de Guzman Restless Hustler Doctor G and Labani og
Kama wewe wa kike mimi hapa ni me,nitakuwa rafiki yako.Jamn mbona mm sina mtu wa kunitag au kumtag, niko pekeangu pekeangu. Natafuta rafiki awe wa kike mm niwa kike pia
Alikuwa almost amejinasua ila nimesikitika amerudi tena mikononi mwa Ally MpembaUmughaka with Another mission ya kutoa kafara ! Dunia ina mengiiii Walai!!!
Duuuh,umetisha sana mzeeKuna MCHUMBA na MALAYA.
Mchumba anasomeshwa ila Malaya hasomeshwi,kitu kibaya sana ni kuwa wanawake wengi sikuhizi ni Malaya waliojivika Joho la Uchumba na ndipo kasheshe linapoanzia.
Rehema now ndiye mke wangu mkuu.
Tatizo ni kubwa watu hadi wanatukanana humu. Naomba na mimi uwe unanitagi mremboAsante Boss ledi.
Tag zako zinanisaidia sana maana messages ni nyingi mno,hadi watu tunapata shida kuona mwendelezo ulipo.