trudie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 3,338
- 7,675
sio hapo tuu yaani yeye toka anashuka ubungo siku ya kwanza haulizi zaidi ya kukubali anachoambiwa na yoyote . Ally ndio kamshika masikio kabisaa anampeleka anavyotaka. Ngoja tuone mbeleni
Sasa angeuliza nini wakati alikuwa anafokewa na yeye yawezekana alikuwa kwenye taharuki
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app