Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

sehemu ya 19
Baada ya maya kuingia chumbani kwaajiri ya kusitiriwa,maya ambae kulingana na maelezo ya juzi ya kaka muarabu/Ally Mpemba,kuwa hana umaya wowote bali ni his blood sister niligundua kitu kichwani kwangu mura

Niligundua kuwa mwanamke mzuri ni mzuri tu hata kama akichukuliwa usukuleni,huwezi amini licha ya maya kushindia chini ya kabati uzuri wake ulikuwa bado uko vilevile,nilikuwa nasema Monica wa kule kwa dingi mdogo ni mzuri lakini kwa maya hafiki hata robo mura

Nilikuwa nasema kile kidemu cha mchizi wangu wa ukubwani Steve ni kizuri lakini kwa maya hakifiki hata robo.Sijui kama msela wangu Steve kama angeachiwa pisi kali kama hii ili akeshe nayo kitandani kama angekuwa na muda tena wa kujihangaisha na kidemu chake cha kimakonde

Wakati mawazo hayo yanapita kwa kasi ya umeme kichwani kwangu,maya akawa amelala kitandani na kuiachia miguu wazi tayari kwa zoezi la kusitiriwa kama nilivyoelekezwa na kaka Ally

Basi kwa kujiamini kabisa mwanaume wa kikurya,mla kichuri na damu nikakivua haraka haraka kiboxer changu na talatiibu nikaanza kumlala maya kama vile ninavyomlala mama Rhobi usiku

Nikaanza kufanya ile kitu watoto wa tareselama bhanasema kupeleka moto.Nikawa nampelekea moto balsa,halafu sijui kaka Ally alikuwa hamtoshelezi maana alionekana kuwa na nyege za hatari.Kilichonifurahisha alikuwa hakati kati sana kiuono bali alitulia tu mimi nikawa napeleka moto wa kutosha

Sasa wakati napeleka moto nikawa nimefanikiwa kupata bao moja mura na kile kitendo tu cha kumaliza kuwamwaga wazungu ikawa kama vile pua zangu zimefunguka,nikapokelewa na harufu ya choo sio choo,jalala sio jalala mpaka nikataka niahirishe hili zoezi la kumlala maya niende nikalale tu kule kwenye gari yangu ya Audi aliyoniachia kaka nipigie misele

Sasa sijuhi kwa sababu ya uaminifu wangu kwa shetani nikawa nimeyakumbuka maneno ya kaka Ally mpemba/muarabu kuwa hiyo miharufu harufu ya jalala na choo anayoitoa maya ndio mihela yenyewe nikaendelea kumpelekea moto mpaka akanipiga piga mgongoni kama ishara ya kutosheka,nikauchomoa mkuyange wangu haraka,maya akaja akanilamba lamba mpaka huku kwenye mapumbu halafu huyo akaanza kuondoka taratibu kwenda kwenye chumba chake,nikaanza kujikagua sehemu zangu za siri na kugundua hakuna kilichoharibika isipokuwa tu kuna vimabaki mabaki vya mboga za majani zimenasa kwenye mavuzi

Nikatoka nje uchi uchi na kwenda kukifunga kile chumba cha maya kisha kurudi chumbani kwangu kulala huku nikiwa na matumaini makubwa ya kukuta magunia ya hela kule chumbani kwangu gongo la mboto,nikawaza nikiyakuta kitu cha kwanza ni kuchukua gunia moja na kuliweka kwenye buti ya hii Audi yangu kisha kwenda kumdorishia yule mke wa uncle
Jamaa una kipaji sana aisee

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
WAkuu poleni sana na majukum. Huyu mshikaji niliwasiliana nae, anasema anashindwa kuwapa taarifa ya kuwa hataweza kuendelea na hii story. Anadai ni ya kweli kabisa hivyo baadhi ya watu wanaoifaham familia ya huyo mpemba walifikisha taarifa kwa familia na familia imempiga marufuku kuendelea.

Anaomba sana mumsamehe kwani hataweza tena kuendelea na story yake.

NAWASILISHA.
 
WAkuu poleni sana na majukum. Huyu mshikaji niliwasiliana nae, anasema anashindwa kuwapa taarifa ya kuwa hataweza kuendelea na hii story. Anadai ni ya kweli kabisa hivyo baadhi ya watu wanaoifaham familia ya huyo mpemba walifikisha taarifa kwa familia na familia imempiga marufuku kuendelea.

Anaomba sana mumsamehe kwani hataweza tena kuendelea na story yake.

NAWASILISHA.
 
WAkuu poleni sana na majukum. Huyu mshikaji niliwasiliana nae, anasema anashindwa kuwapa taarifa ya kuwa hataweza kuendelea na hii story. Anadai ni ya kweli kabisa hivyo baadhi ya watu wanaoifaham familia ya huyo mpemba walifikisha taarifa kwa familia na familia imempiga marufuku kuendelea.

Anaomba sana mumsamehe kwani hataweza tena kuendelea na story yake.

NAWASILISHA.
Tutaamini vipi kama UMUGHAKA
Hajatia neno na id yake...
 
WAkuu poleni sana na majukum. Huyu mshikaji niliwasiliana nae, anasema anashindwa kuwapa taarifa ya kuwa hataweza kuendelea na hii story. Anadai ni ya kweli kabisa hivyo baadhi ya watu wanaoifaham familia ya huyo mpemba walifikisha taarifa kwa familia na familia imempiga marufuku kuendelea.

Anaomba sana mumsamehe kwani hataweza tena kuendelea na story yake.

NAWASILISHA.
INawezekana. Maana mshikaji anachungulia tu na kusepa
 
WAkuu poleni sana na majukum. Huyu mshikaji niliwasiliana nae, anasema anashindwa kuwapa taarifa ya kuwa hataweza kuendelea na hii story. Anadai ni ya kweli kabisa hivyo baadhi ya watu wanaoifaham familia ya huyo mpemba walifikisha taarifa kwa familia na familia imempiga marufuku kuendelea.

Anaomba sana mumsamehe kwani hataweza tena kuendelea na story yake.

NAWASILISHA.
Sidhani kama haya maelezo uliyotoa yeye kashindwa kutuambia kwa id yake
 
Mwanangu kuna karaha flani hivi unakapata ukiwa na hawa jamaa, kuna muda mnakuwa na bond yenye nguvu sanaView attachment 2486591View attachment 2486592

IMG_7375.jpg

Wangu huyu hapa siwezi muuza aisee ananipa raha mno ,nitumie dawa gani ya kuzuia asibebe mimba
Bado mdogo lakin ila Ndio anakaribia kukua?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom