Waja haaaaaUmughaka episode ifuatayo isimulie kwa details zaidi hasa kwenye tukio la kumla Maya. Ikiwezekana episode nzima simulia ya chumbani tu ukiwa na Maya achana na vipengele vya kwenda kula kiepe wala kwenda kusajili line.
Tunahitaji kujifunza kitu hapa mkuu
Shida watu wanaupeo mdogo kwa hiyo wanaona ni vitu haviwezekaniki na ni vya kutunga. Wangekua wanasomaga hata story za kutunga wangegundua mtiririko ni tofauti kabisa na wa matukio ya kweliKuna vitu nimeanza kuviamini kwa wale mnaosema jamaa anacopy na kupaste...
1. Scenario ya ugonjwa wa Babu ,
Iko hivi, babu yangu alishawahi kuugua ugonjwa Kama huo na aliwekewa mpira hivo hivo...
Huwezi amini alikuwa na ukorofi uliopitiliza.. saa zingine Kama hivo anajisaidia kitandani , yaani alikuwa na kiburi Cha hali ya juu.. jamaa nimekuelewa Sana hapo...!
Lakini pia Mjomba wako Niko sio kwamba alikuwa hakupendi..la hasha ni vile tu alikuwa amewekwa kwenye kiganya na mkewe! ...
Na umesema ni marehemu kwasasa... , na umesema mkewe ni MTU wa kaskazini... Najaribu kuwaza beyond the scene
2. Jamaa yako kuishi Kivule...
This is true, Wakurya wengi Sana wanaishi ukanda huu wa kuanzia Banana , kwenda Mbele huko Kivule, Bombambili, Kwa mwanagati, na maeneo mengine ya Gongo la mboto...
Story yako naanza kuiamini japo wengine wanaibeza...Kuna vitu vya kujifunza pia...
Tuendelee
Hii stori imenifumbua macho sana, kuna jirani yangu ana ghorofa zuri ila yeye anaishi kwenye boycoter halafu mbuzi wake wawili ndio wanaishi kwenye ghorofa, hana familia ni anaidhi peke yake na mbuzi hapo kwake
Acha uvivu,unataka utafuniwe tu bila kujishughulishaAnayejua episode ya 17 ipo post namba ngapi anijuze
Kwaio nianze kurudi nyuma hadi niikute na mnavyopiga soga humu huoni ntapoteza muda? Kama unajua weka link sio unalaumuAcha uvivu,unataka utafuniwe tu bila kujishughulisha
Asante Shad kweli hakuna pesa rahisi jamanii mbona naanza kuiogopa hii story
2517Anayejua episode ya 17 ipo post namba ngapi anijuze
Thanks si much
Kama Maya ndio yuko hivi basi hata mi naweza kumzagamuaMaya huyu hapa..View attachment 2481916
Acha kufatilia maisha ya watuFamilia yake sijawahi kuiona tangu tumehamia hapa mwaka wa nne sasa ila nasikia ana nyumba nyingine bunju ambayo ndio familia wanaishi, yeye ana maduka ya vyombo mwenge na kariakoo, duka la mwenge anasimamia mkewe kwa mujibu wa majirani wengine
Best comment of a dayAcha kufatilia maisha ya watu
Mimi kwenye hiz inshu za utajir nipe mashariti yote ila usiniwekee mashariti kwenye kula mbususu
kAma huu utajiri wa Ally Mpemba haruhusiwi kuchakata mbususu mtaani basi hauna maana,raha ya kwanza kwa mwanaume hapa duniani ni kuzichakata mbususu
UMUGHAKA hamuulizi Ally Mpemba khs Condom wala nini yeye anawaza kumpelekea moto Maya...
Hiyo ndio sababu ya kulala nae ili apate mimba na kiumbe kitakachopatikana kinakuwa kafara. Halali nae bure tu bali kinachohitajika ni hizo mbegu zake zitakoenda kuzalisha mimba.
Duh halafu nipo nyuma sana ep ya 5 nahisi. Mmefika ngapi?
Umughaka episode ifuatayo isimulie kwa details zaidi hasa kwenye tukio la kumla Maya. Ikiwezekana episode nzima simulia ya chumbani tu ukiwa na Maya achana na vipengele vya kwenda kula kiepe wala kwenda kusajili line.
Tunahitaji kujifunza kitu hapa mkuu