Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,366
- 19,571
Simulizi nzuri sana kaka UMUGHAKA kama kawaida ya simulizi zako, huwa zinahuzunisha, kufurahisha na kufundisha.
Naimani wengi tutakuwa tumejifunza, mengi katika maisha haya hasa vijana.
Mwenyezi Mungu akubariki, wewe pamoja na familia yako. Malengo yenu yatimie na siku moja muishi mkoa mmoja na familia yako.
Wakaka zetu wa Kikurya ni wapambanaji na wasio na uoga kabisa. Kanda maalumu Mara 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Naimani wengi tutakuwa tumejifunza, mengi katika maisha haya hasa vijana.
Mwenyezi Mungu akubariki, wewe pamoja na familia yako. Malengo yenu yatimie na siku moja muishi mkoa mmoja na familia yako.
Wakaka zetu wa Kikurya ni wapambanaji na wasio na uoga kabisa. Kanda maalumu Mara 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥