Utajiri wa kishirikina unavyotesa wengi


Kweli mafirauni hao, work hard and believe in yourself that's all
Nimekuelewa vizuri saana
 
Ila wangetoka kaskazini ndo matajiri halali wakitoka kusini sio halali toa evidence ya uchawi kwa Wakinga

Hiii ni kwa wrote mkuu
Tena huko kaskazini ndo usipime!

Wakinga haina kuuliza kawaida hiyo
 
Siamini katika uchawi.

tang'ana;
Sijui ni mimi tu sikukuelewa. Huamini nini katika uchawi? Huamini kuwa kuna uchawi au huamini kutajirika kiuchawi? Vyote hivyo vipo kwani hata vitabu vitakatifu vimeandika habari za uchawi na wachawi.
Pia usiache kuamini kuwa kuna mali zinapatikana kiuchawi ila tatizo lake ni kuwa, mali zile ni za mda mfupi nazo hupotea na kukuacha katika aibu kuu.
Mali za kichawi hazirizishwi mtu mwingine. Ukifa na kila kitu chafa na weye. Kafara hutolewa kila siku, kama bungeni ndo usiombe. Watu waliwahi kwenda kuweka vitu mle kiasi kwamba hata cct camera zile hazikumshika jamaa akiwa kazini. Si wakumbuka enzi za Mh. Six??? Uchawi upo, na wachawi wapo ila they live for a short tyme na hizo raha zao.
Utajiri wa kweli hauji kwa kujinyima wala kwa uchawi ila kwa kukaa sawa sawa na mapenzi ya Mungu akubariki kwani ametuahidia baraka.
Wapo watu tunawajua, hawaruhusiwi kuvaa suruali, viatu, kulala kwenye nyumba zao ikifika saa 12 jioni ni mwisho wake kuingia ndani ya nyumba aliyoijenga. Kuna mwingine jirani yetu tu hapa, saa 11 alfajiri, lazima akanye njia panda kila siku. Mateso gani haya jamani??
Tafuta kwa njia nzuri na utatajirika tuuu. Mungu anipe utoshelevu na amani vyanitosha
 
Aaaah bwana wewe acha ibishi bwana, wakinga wengi walipata utajiri kwa njia za majoka.... unajua nini kuhusu mwakipande

Mkuu huyu hawajui wakinga anawasikia,atuulize tuliokua nao na kuishi nao
 
Dunia haiumwi wanaoumwa ni wale waishio duniani
 

Pole mkuu km ulikuwa hujui!.hakuna kitu km hicho,
Kuna utajiri wa halali na wa kishirikina
 
Ua ryt mdau kabisa,,,,,,,,,,,,,,,,MAJINI yametajwa sana kwenye QUR'AN
 

Umesahau ile wanawavalisha watoto wadogo vitu vyeusi wanaita eti dawa. Yaani mtoto akizaliwa wanatafta tambara jeusi wanafunga hayo madawa na kitovu cha mtoto eti dawa ili asidhurike na wachawi. Kwangu mimi naona ni upungufu wa Imani kabisa!Mbona mimi binafsi sijawahi wavalisha watoto wangu hizo kitu na wamekuwa na wanakua vizuri tu bila shida? Kinachonishangaza hata watu ambao wamesoma na kuelimika bado wanaizo imani!!Jirani yangu Daktari wa Ocean Road kamfunga mwanae hizo kitu, dah!!!Ni shida
 
Ivi vitu watu wana dharau ila vipo. Usione mwanao anafanya vitu vya ajabu ajabu ukasema zezeta au ana kasoro flan. See beyond what u see or understand under normal circumstances.[/QUOTE]
hapa mkuu nakubaliana na wewe, mtoto anakuwa anafanya mambo ya ajabu na harekebishiki kuna mambo yanaendelea nna ushahidi na hili.
 

Huyo amesoma na hajaelimika na amefungwa na nira za kutegemea nguvu zisizoonekana wala kuekezeka
 

nimeipenda hii
 

Wakinga na wapemba ina wahusu sana hii mada na hata ndugu zangu wamakonde hakuna tajiri hata mmoja wa kimakonde ambae utajiri wake ni wa halali wote ni wa ngende!
 
mshana jr

Mimi nachojiulizaga hizo kafara huwa zina uhusiano gani na utajiri? yani ni process gani inafanya mtu apate hayo mahela baada ya kumuua ndugu/jamaa yake.

Mkuu palipo na damu kuna agano!!
Hili somo pana.

Sasa basi hakuna chochote kinachokamilisha agano/mkataba isipokua damu.na kumbuka kwenye hayo maagano/mikataba huwa kuna mashart!....

Sasa basi kinachofanyika kwa waganga baada ya msaka huo utajiri kuwekeana mkataba/agano,mashart pamoja na yote huambiwa leta kuku,mbuzi,ng'ombe, mtu kulingana na level ya utajiri though kwa kuanza wengi wanaanzia hapa chini yaani kuchinja kuku,mbuzi nk

Sasa hapa mganga anachofanya ni kidogo tu kuyaita hayo majini/mapepo ya utajiri na kuyaambatanisha na mhusika,so hizo roho au majini yanatii na kumfanyia kila kitu huyu mhusika anachotaka kulingana na mashart husika aliyopewa huko!!

Sasa kadri utajiri unapokua,ujue na kafara zinatofautiana ndo hufikia mahali zinatakiwa damu za watu!!!ss hapa ndo kasheshe ilipo!
Na pia inategemea mashart yenu mliyopeana Kule mwanzo!

Baadhi ya mashart unaweza kuta kila mzaliwa 1 kwny hiyo family anatolewa kafara,au kufanywa zezeta au hakuna kuoa/kuolewa,hakuna kufanikiwa ht ufanyaje,au kifafa kwa mtt 1 yaani mengi mno!!!

Nb,ubaya wa mashart hayo huwa yanabeba ukoo/familia nzima na hapa ndo shida!
 
Last edited by a moderator:
SISI wakinga hatutumii uchawi bali maarifa tu. Kwanza utakubaliana na mimi kwamba wakinga ni wachapa kazi, hili halina ubishi it is there for all to see.
Wakinga sio wahongaji, wakinga hawavai nguo za bei mbaya, hawanunui magari ya kutanulia, hawanywi pombe za matanuzi, hawali nyama, wakisafiri hawali njiani maana kuna ule mkate wao wa kikinga ambao husafiri nao, kanisani wanatoa kiasi kidogo tu. Kwanini wasilimbikize mali ? Hutegemei kuona tajiri mbondei kwasababu tabia zao ni kinyume kabisa na za wakinga. Kama kuna mtu alishawahi kuona tajiri wa kibondei aingie pm nimtumie vocha anipigie.
 

Na kwenye haya masharti kuna
-ya kulala na mamaako/babaako/mwanao
-kulala na mtoto mdogo/mchanga.ndio maana kuna habari nyingi sana za watu kubaka vitoto vidogo kabisa tena vingine vya miezi tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…