Utajiri wa gesi umepotelea wapi?

Where's your point exactly?! Unabisha suala la kugundulika gas huko Kusini mwa Tanzania au unapinga nini hasa?!
 
Huyu shetani anaetumbua watuni kiongozi msanii kuliko tapeli yeyote duniani,bora Trump aendelee kuvurumisha matusi labda 4G itasoma kwa nyumbu ways wanaotuhadaa kwa kuhama Kenya to Tanzania then opposite
 
Are you aware of recently price decline of natural gas worldwide? If so could this not affect the investing morale of due investors? In that course, how could someone shout natural gas is still a big economic deal?
Innovation outside ccm is required.those are monkey with tail.
 
Utawasikia "Tupo kwenye michakato"
Kwa sasa utasikia "Tupo kwenye upembuzi yakinifu"
Kuna maneno ya kiserikali hua wanaongeaga yanakera kweli....
Wamakonde walijua ndo wameshauaga umaskini kwa kugunduliwa iyo gesi ila mpaka sasa wanashindia mlo mmoja kwa siku
 
Kumbe Ndo mana wakina Ghati Mwita walipelekwa Norway na Statoil??? Damn!
 
Hahaha mbona hata wewe mzalendo sijaona ushauri wako kwa wazalendo wenzako?!
Uzalendo ni ujinga, kuona makosa alafu unamshangilia mfanya makosa. Wale unaodhani wanaakili kufanya yanayostahili wame shindwa sasa wanaimba tu Tanzania ya viwanda. Mimi ni mzalendo kwa nchi yangu lakini siyo kwa viongozi wajinga. Silazimishwi kumpenda unayrmpenda wewe, natumia ufahamu wangu kuona mazuri na mabaya. Hadi sasa hakuna zuri hata moja,wameboronga tangu wameingia madarakani. Unataka nisifie ujinga?! Sitaki kufanya hivyo, na sitaki kuwa na fikra kama zako. Mimi nitawaza na kachanganua kivyangu nawe sifia kivyako.
Wapo wanaolipwa kushauri, kwanini nifanye kazi yao?! Mimi nimeamua kukosoa tu, huwezi kumshauri mjinga.
 
Sasa kulikuwa na haja gani kuupitisha harakaharaka bungeni kama bao la jogoo
 
Where's your point exactly?! Unabisha suala la kugundulika gas huko Kusini mwa Tanzania au unapinga nini hasa?!
Ha ha ha ha! where is you're point exactly,ha ha ha ha! people of the Republic of Danganyika.
we have got diamond,gold,gas,urenium,Nikel and all shit,does these stuff take you anywhere?
 
wanasiasa kazi yao ni kuwageuza wananchi. kwa kweli ni shida....
 
baba naona umejilipua
 
Ha ha ha ha! where is you're point exactly,ha ha ha ha! people of the Republic of Danganyika.
we have got diamond,gold,gas,urenium,Nikel and all shit,does these stuff take you anywhere?
Jibu ulichoulizwa badala ya kujichekesha chekesha!

Btw, mie nilizungumzia suala zima la uwepo wa gas! Sasa unadhani hiyo hoja inahusiana na nilichosema mimi?

Lemme tell you something... read the comment-- understand it-- respond na sio unakimbilia ku-respond wakati hujui una-respond nini!
 
Ok sawa ngoja tusubiri hiyo gas yako ya deep sea,African tuna matatizo sana.
Tusijibizane sana mkuu drop it.
 
Mbona washaanza kutandaza mabomba ya gesi hadi kila Nyumba,soon mambo ya kuangaika na mitungi kubeba Yana kwisha

Ova
 
Ok sawa ngoja tusubiri hiyo gas yako ya deep sea,African tuna matatizo sana.
Tusijibizane sana mkuu drop it.
Eti gas yako! Mleta mada kahoji how come hamna lolote kuhusu gas iliyokuwa iliyokuwa inapigiwa mbiu na akina Muhongo hadi kufikia kupeleka polisi!

Nilichofanya ni kutofautisha kati ya gas waliyokuwa wanaisema akina Muhongo ambayo haijachimbwa hata kidogo na gas ya Mnazi Bay ambayo ndiyo walipelekwa polisi!

Sasa hoja yako kwamba am appraising stupid politician inatoka wapi?! Hiyo gas ilikuwa explored na politicians?
 
Nenda kwanza kugoogle projects za oil and gas huwa zinachukua muda gani.

Ukishamaliza kugoogle; Rudi hapa uone kama kulikua na ulazima wowote wa kupost mada yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…