Are you aware of recently price decline of natural gas worldwide? If so could this not affect the investing morale of due investors? In that course, how could someone shout natural gas is still a big economic deal?yawezekana hufuatilii masuala ya nchi yako, ila umeendekeza siasa. gesi haijaanza kuchimbwa, ila mchakato unaendelea na sasa mazungumzo ya kujenga NLG plant mkoani lindi kwa makampun washirika na serikali unaendelea. mchakato wa gesi is not an overnight event, it is a process, inapitia procedures mbalimbali. ges inayotumika sasa ni ya mda mrefu kutoka msimbati na songosongo, na ndio inayosafirishwa kwa bomba hadi dar es salaam. kama hujui jambo ni vema ukatafuta taarifa sahihi kuliko kubwabwaja tu mitandaoni
Mkuu hii ni one of the Shithole countries usitegemee la maana lolote.Miaka kadhaa iliyopita tulipewa taarifa ya ugunduzi wa ma million cubic ya ujazo ya gesi asilia, na moja kwa moja viongozi wa nchi wakatuambia sasa umasikini ndo bye bye. Wimbo maarufu ulikua uchumi wa gesi, huku mahubiri ya kisiasa yakichagizwa na matumaini kwa watanzania kuwa wakati wetu wa kuuaga umasikini umewadia.
Nani asiyemkumbuka Prof. Muhongo alivyosimamia mahubiri haya, lakini pia serikali ya CCM ilivyofikia hadi hatua ya kupeleka Polisi na Jeshi kudhibiti watu kule Kusini ili uchimbaji wa gesi ufanikiwe. Ziara zikafanyika nchini Algeria na Urusi ili kupata uzoefu wa kuendesha uchumi wa gesi.
Cha kushangaza, hakuna tena anayeongelea kuhusu uchumi wa gesi wala kuuaga umasikini kupitia uchumi wa gesi.
Huu utajiri wa gesi umepotelea wapi hivi?
yawezekana hufuatilii masuala ya nchi yako, ila umeendekeza siasa. gesi haijaanza kuchimbwa, ila mchakato unaendelea na sasa mazungumzo ya kujenga NLG plant mkoani lindi kwa makampun washirika na serikali unaendelea. mchakato wa gesi is not an overnight event, it is a process, inapitia procedures mbalimbali. ges inayotumika sasa ni ya mda mrefu kutoka msimbati na songosongo, na ndio inayosafirishwa kwa bomba hadi dar es salaam. kama hujui jambo ni vema ukatafuta taarifa sahihi kuliko kubwabwaja tu mitandaoni
Kwani kura yako uliwapa CCM Mjomba?Mleta uzi anasahau mswaada ulipitishwa usiku wa manane, wapinzani hawahawa wakiwa wamefukuzwa ukumbini na spika. Ile ilikuwa kuiuza gas hiyo kwa mikataba sawa na ya madini mengine. WaTz hatuna wa kumlaumu tujilaumu wenyewe kwa kuendekeza uongozi huu wa CCM.
Watawara ndio wahovyo.Sasa iv tupo kwa NABII TITO mpaka wazir wa mambo ya ndan kamzungumzia daah Tanzania ni ya hovyo sana
AMANI..Hahaha kuwa mzalendo ni mimi kuwa na mawazo sawa na yako? Au kuamini kwamba ysnayofanywa na serikali ni sahihi hata kama mimi naona siyo sahihi?! Au ndio kusifia uongo na kupindisha ukweli?!
Wachimbaji wote huwa wanaondoka bila kufukua mashimo, kuthibitisha kasome report ya bulyankhulu uone, hivyo kukumbusha wataalamu wetu waje nataaluma hiyo ni kuipunguzia nchi gharama kutafuta kampuni za kigeni kufukia mahandaki. Uzalendo upi unataka niwe nao, zaidi ya huo?! Au wewe ni miongoni mwa vijana mliohitimu JKT tulioambiwa mmeenda kujifunza kuwa wazalendo?! Tufundisheni huo uzalendo mpya basi nasi tuufahamu.
Safi sana mkuu, maelezo yako yamejitosheleza. Nimelizungumzia mara nyingi suala hili humu lakini inaonekana wengi hawana ufahamu sahihi juu ya suala la gas ya mtwara ikiwa ni kwa kutofuatilia taarifa mbalimbali zihusuzo nchi yao au wadau kutotoa elimu ya nini kinachoendelea hadi sasa kwa gas ya mtwara.Hadi sasa ripoti zinaonesha 57 trillion cubic feet ambayo ni takribani 1.6 TRILLION Cubic Meters!
1. Gas sio story but it's real... ninachoona ni mitazamo tofauti kati ya JK na JPM. Wakati JK aliamini katika uchumi wa gas, JPM anaonekana kuamini katika uchumi wa madini (achana na porojo za viwanda).
2. Kwamba Gas imechukuliwa na Wachina ni propaganda tu za kisiasa! Kilichofanyika hadi sasa ni exploration tu... uchimbaji wa gas hujafanyika kabisa.
Na katika kufanya exploration, ni makampuni ya mafuta ya Ulaya na America ndiyo yalifanya hiyo kazi kwa pesa zao wenyewe.
There's no way mtu anaweza kutumia mabilioni ya shilingi kufanya exploration halafu agundue gas kisha ampe Mchina.
3. Uchimbaji wa gas, hususani inayopatikana kina kirefu ni very expensive! Industry ya oil na gas kwa ujumla wake ni very expensive! Angalia tu kile kiwanda ambacho kilikuwa ndio kiwe gas processing plant... kilikadiriwa kufikia gharama ya $30 Billion.
So, kwa mazingira ya sasa ambayo serikali haitabiriki itakuja na jambo gani, ni kama limefanya investors wanarudi nyuma kusikilizia! Na wala sioni kama ni top priority ya JPM ukilinganisha na anavyohangaika na madini!
Hata usipowapa wamekumbatia vyombo vya maamuzi e.g ZanzibarKwani kura yako uliwapa CCM Mjomba?
You're very RIGHT... nadhani watu wanachanganya kati ya gas ambayo ilishagundulika tangu zamani na kuchimbwa (ambayo ni Songo songo na Mnazi Bay) pamoja na gas boom iliyogundulika hivi sasa... iliyokuwa inapigiwa sana debe na JK pamoja na Muhongo.Safi sana mkuu, maelezo yako yamejitosheleza. Nimelizungumzia mara nyingi suala hili humu lakini inaonekana wengi hawana ufahamu sahihi juu ya suala la gas ya mtwara ikiwa ni kwa kutofuatilia taarifa mbalimbali zihusuzo nchi yao au wadau kutotoa elimu ya nini kinachoendelea hadi sasa kwa gas ya mtwara.
Kama ambavyo umeandika hapo juu, mkuu wa nchi inaonyesha alichotilia mkazo kwa sasa ni madini tena sana sana ni dhahabu pekee labda na tanzanite kidogo. Viwanda kiukweli bado sijaona ameweka mkazo sana. Endapo angekuwa "serious" na kuchukulia kwa "uzito" kama alivyofanya kwenye sgr, dhahabu, stieglers gorge (ingawa sijui tuta-finance vipi kwa billions of USD) basi tungeshapiga hatua fulani.
Tukirudi kwenye gas ya mtwara, kuwekeza trillions almost 70 za Tanzania si jambo la kukurupuka tu. Kuna vitu vingi lazima mwekezaji aangalie hasa kwenye kodi. Mara nyingi huwa wanapenda kupewa incentives fulani(ambazo zinaweza kuwa za kinyonyaji pia) ili warudishe haraka invested capital na kuanza tengeneza faida. Sasa nadhani wameona kwa sera za kodi za utawala huu ni bora kwanza wasubiri.
Hali hii pia ndio iliyoikumba chuma cha liganga na makaa ya mawe ya mchuchuma vitu ambavyo ni msingi mzuri wa heavy industries lakini mkuu huku ni kama vile hakuoni.
Sawa sawa, nafikiri pia uchimbaji wa madini ambayo yanaweza saidia katika ukuzwaji wa viwanda kama chuma ni muhimu pia. Maana ni madini ambayo hata nchi zetu za ulimwengu wa tatu zinamatumizi nayo kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na tanzanite au dhahabu.You're very RIGHT... nadhani watu wanachanganya kati ya gas ambayo ilishagundulika tangu zamani na kuchimbwa (ambayo ni Songo songo na Mnazi Bay) pamoja na gas boom iliyogundulika hivi sasa... iliyokuwa inapigiwa sana debe na JK pamoja na Muhongo.
Na hilo la kuchukulia seriousness, ndiyo hasa hoja yangu! JPM anaonekana wazi jinsi alivyo serious kwenye madini and especially, gold. Kwa maoni yangu, ingawaje simaanishi anatakiwa kupotezea sekta ya madini lakini energy anayotumia kwenye madini ni kubwa mno kuliko productivity yake.
Na si kwamba productivity ni ndogo kwavile tu tunaibiwa, bali madini hayana productivity kubwa kiasi hicho kama ambavyo watu tunadhani!
Upo sahihi kabisa... tena kuna thread kabisa niliandika though sijai-post inayozungumzia hizi sekta mbili:- Sekta ya Madini na Nishati, hususani gas.Sawa sawa, nafikiri pia uchimbaji wa madini ambayo yanaweza saidia katika ukuzwaji wa viwanda kama chuma ni muhimu pia. Maana ni madini ambayo hata nchi zetu za ulimwengu wa tatu zinamatumizi nayo kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na tanzanite au dhahabu.
We unaishi dunia gani? Mbona unataka kuturudisha kwenye Stone Age? Hivi kweli wewe hujui kua sisi tupo kwenye uchumi wa viwanda kwa nini uongelee masuala ya gesi badala ya viwanda? We don’t want to go back to Stone Age we want to advance and make our nation an industrialised nation punto finalMiaka kadhaa iliyopita tulipewa taarifa ya ugunduzi wa ma million cubic ya ujazo ya gesi asilia, na moja kwa moja viongozi wa nchi wakatuambia sasa umasikini ndo bye bye. Wimbo maarufu ulikua uchumi wa gesi, huku mahubiri ya kisiasa yakichagizwa na matumaini kwa watanzania kuwa wakati wetu wa kuuaga umasikini umewadia.
Nani asiyemkumbuka Prof. Muhongo alivyosimamia mahubiri haya, lakini pia serikali ya CCM ilivyofikia hadi hatua ya kupeleka Polisi na Jeshi kudhibiti watu kule Kusini ili uchimbaji wa gesi ufanikiwe. Ziara zikafanyika nchini Algeria na Urusi ili kupata uzoefu wa kuendesha uchumi wa gesi.
Cha kushangaza, hakuna tena anayeongelea kuhusu uchumi wa gesi wala kuuaga umasikini kupitia uchumi wa gesi.
Huu utajiri wa gesi umepotelea wapi hivi?
Kwa hiyo mkuu unataka kutuaminisha kwamba hiyo Gas iliyopo deep sea italeta uchumi hapa Tanzania?,hakuna watu wa hovyo kama wanasiasa na wale woote wanaowalinda hovyo sana,why do you praise these stupid politicians,you know what? they work for satan, they are satanism,they can eat you alive ,there on throne not to make you live happy and enjoy on this earth never ever,they can suck you're blood anytime you go against them, they 're shit dude.NI kweli, gas ambayo ilileta vurugu kule Mtwara ni gas ya Msimbati. HATA HIVYO, utajiri wa gas inayozungumzwa sio gas ya Msimbati! Gas ya Msimbati ni ya kawaida sana.
Gas ambayo Muhongo alikuwa anataka kutoana macho na akina Mengi ipo deep sea na kiasi kikubwa kimegundulika mkoani Lindi.