gesi hiyo si ya Tanzania inatoka nje,hao mashoga hawajawahi kutupatia gesi ya kuweka kwenye mitungi labda miaka 20 ijayo.Unapiga domo apa wakati ndani kwako kuna vimitungi vya gesi acheni lawama kachimbeni nyie basi.
[emoji122][emoji122][emoji122]Mleta uzi anasahau mswaada ulipitishwa usiku wa manane, wapinzani hawahawa wakiwa wamefukuzwa ukumbini na spika. Ile ilikuwa kuiuza gas hiyo kwa mikataba sawa na ya madini mengine. WaTz hatuna wa kumlaumu tujilaumu wenyewe kwa kuendekeza uongozi huu wa CCM.
Kabla ya gesi walisema pia mkonge wa mawasiliano ukishakamilia,gharama za mawasiliano zitakuwa ndogo......leo hii mkonge ulikamilika na gharama bado ni kubwa
miaka kadhaa iliyopita tulipewa taarifa ya ugunduzi wa ma million cubic ya ujazo ya GAS asilia, na moja kwa moja viongozi wa nchi wakatwambia sasa umaskini ndo bye bye. Wimbo maarufu ulikua UCHUMI WA GAS, huku mahubiri ya kisiasa yakichagizwa na matumaini kwa watanzania kuwa wakati wetu wa kuuaga umaskini umewadia.
Nani asiyemkumbuka Prof Muhongo alivyosimamia mahubiri haya, lakini pia serikali ya CCM ilivyofikia hadi hatua ya kupeleka POLIS na JESHI kudhibiti watu kule kusini ili uchimbaji wa GAS ufanikiwe. Ziara zikafanyika nchini Algeria na URUSI ili kupata uzoefu wa kuendesha uchumi wa gas
CHA KUSHANGAZA, hakuna tena anayeongelea kuhusu UCHUMI WA GAS wala kuuaga umaskini kupitia UCHUMI WA GAS.
HUU UTAJILI WA GAS umepotelea wapi hivi??
saa hz ni uchumi wa viwanda..nunua vyerehani vi4 mambo yaendelee
miaka kadhaa iliyopita tulipewa taarifa ya ugunduzi wa ma million cubic ya ujazo ya GAS asilia, na moja kwa moja viongozi wa nchi wakatwambia sasa umaskini ndo bye bye. Wimbo maarufu ulikua UCHUMI WA GAS, huku mahubiri ya kisiasa yakichagizwa na matumaini kwa watanzania kuwa wakati wetu wa kuuaga umaskini umewadia.
Nani asiyemkumbuka Prof Muhongo alivyosimamia mahubiri haya, lakini pia serikali ya CCM ilivyofikia hadi hatua ya kupeleka POLIS na JESHI kudhibiti watu kule kusini ili uchimbaji wa GAS ufanikiwe. Ziara zikafanyika nchini Algeria na URUSI ili kupata uzoefu wa kuendesha uchumi wa gas
CHA KUSHANGAZA, hakuna tena anayeongelea kuhusu UCHUMI WA GAS wala kuuaga umaskini kupitia UCHUMI WA GAS.
HUU UTAJILI WA GAS umepotelea wapi hivi??
hehee...malighafi tumeshindwa kuzizalisha nchini tunaziagiza,viwonder hoyeeee![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mkuu tena vyerehani vya kushonea magauni ya batik zinazoingizwa nchini kutoka CHINA.
Hadi sasa ripoti zinaonesha 57 trillion cubic feet ambayo ni takribani 1.6 TRILLION Cubic Meters!miaka kadhaa iliyopita tulipewa taarifa ya ugunduzi wa ma million cubic ya ujazo ya GAS asilia,
seriously!!!!![emoji20]Iyo mitungi ya afu60 ya mnayotumia mnazani ni kuni izo?!
ama kweli akili ni nywele na kila mtu anazakeUnapiga domo apa wakati ndani kwako kuna vimitungi vya gesi acheni lawama kachimbeni nyie basi.
nchi ni sisi sote if you mess up something i got right to act.Kama hujui jambo ni bora ukamfuata mtu mwenye sifa zilizotukuka,vinginevyo tutabakia kuwa Sheet hole states.Kama unajua inatoka nje domo la nini kuwa makini utatolewa mahali.
Hahaha kuwa mzalendo ni mimi kuwa na mawazo sawa na yako? Au kuamini kwamba yanayofanywa na serikali ni sahihi hata kama mimi naona siyo sahihi?! Au ndio kusifia uongo na kupindisha ukweli?!TUWE WAZALENDO, [emoji304] OPTIMISTIC POSITIVE THINKING IS HEALTHY AND CREATIVE
Hahahahaha, looooh,uchumi wa viwanda tushamaliza, sasa hivi tuko na uchumi wa marudio ya uchaguziAchana na mambo ya ajabu ajabu ya uchumi wa gesi...kwa sasa tuko kwenye uchumi wa viwanda...mambo ya gesi yashakuwa zilipendwa.
Mkuu hao wapinzani wataongelea wapi wakati mikutano ya siasa imepigwa ban?Mkuu hizi ndio hoja wapinzani wanapaswa kupanda nazo majukwaani kuonyesha umma kwamba wanahadaiwa. Hili la uchumi wa gas likipata mtu mzuri wakati wa hizi kampeni dakika 5 tu kila mkutano litawafanya ccm kupanda jukwaani kujitetea na sio kuuzia wananchi maendeleo Kiduchu/hewa. Akipatikana mpinzani mwingine, anasifia kidogo ujenzi wa SGR ili kuchota akili za wananchi, kisha anakandamiza maelezo ya kina yatolewe kwanini reli zilizoko zimedondoka mpaka kufanya chini ya ufanisi, na matatizo hayo hayatoikumba reli hii mpya? Kuna mambo mengi wapinzani wanaweza kuifanyia damage serekali ya ccm bila kuingia kwenye mikwaruzano isiyo na sababu.