Majoja
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 612
- 186
Wengi tu wamekopa na hakuna noma wala majotro.hivi ukikopa unahesabika mwizi siku hizi?
Epa imekopwa
Kagoda imekopwa
Meremeta imekopwa
NSSF kukopwa na Mbowe kuna ajabu gani?
Kuna jamaa Bungeni juzi kasema kuna wezi wasio na hatia humu nchini!!