Utajiri wa DiamondPlatnumz Wafikia Bilioni 18

Utajiri wa DiamondPlatnumz Wafikia Bilioni 18

Vipimo vyetu ni macho mkuu...mtu anasema anasema ana hela ukienda TRA hasomeki (maana mali unayomilki inatakiwa iendane na kodi unayolipa hata kama umeajiriwa ama umejiajiri kasoro wale wenye vipato ambavyo sheria ya TRA haiwahusu, sasa sijui hawa jamaa taarifa huwa wanatoa wapi sijui)

Ila mwamba c amemsaidia kwa kusema chanzo cha taarifa ni WATU WASIOJULIKANA
Mali anayomiliki au kipato anachoingiza?
Samahani lakini.
 
sidhani,mara nyingi maisha ya wasanii yako kisanii sana
 
sidhani,mara nyingi maisha ya wasanii yako kisanii sana
sio kwa diamond, jamaa hatanii asee anakwambia hamna biashara iliyomuingizia mkwanja kama karanga na ukiangalia ni kweli karanga zinatembea mtaani balaa
 
Duh, chameleone amepitwa??? Naona mnamtaftia kick huyu mtu....Daimond ni mtu wa kawaida, tabaka la wenye pesa kama daimond wapo wengi sanaaa Tanzaniaa....labda umtetee umri wa kupata hzo pesa

Kwa chameleone nakataaa, kushuka umaarufu wa muziki sio kufulia
Alisha shuka kitambo sana
 
Msanii hasifiwi utajiri, anasifiwa sanaa yake.

Utajiri linganisha wafanyabiashara kina MoDewji ma bilionea.
Msanii anasifiwa utajiri,ndio kipimo cha mafanikio.Hata the likes of Jay Z na wengineo huwezi kuona wanashindanishwa sauti au mistari,hayo mambo ni ya Pop idols au Bongo star search(Kibongobongo).Utajiri ndio kipimo cha kwanza cha mafanikio seconded by fan base.
 
Kupima utajiri wa wasanii huwa vigezo ni vitu gani? Bilioni 18 mnazijua? Diamond ana mali gani na za thamani gani? Tatizo la Bongo hata ukiwa na Range Rover Sport wewe ni tajiri! Tajiri ni nani????
 
Msanii anasifiwa utajiri,ndio kipimo cha mafanikio.Hata the likes of Jay Z na wengineo huwezi kuona wanashindanishwa sauti au mistari,hayo mambo ni ya Pop idols au Bongo star search(Kibongobongo).Utajiri ndio kipimo cha kwanza cha mafanikio seconded by fan base.
Msanii angesifiwa kwa utajiri, Leonardo da Vinci asingekuwa katika majina ya wasanii wanaotisha kwa umuhimu wa kazi zao. Leonardo da Vinci died a poor man. He is the quintessential epitome of artistic success.

Utajiri unaweza kupatikana hata kwa bahati nasibu. Mtu asiye na talent kubwa, mwenye talent average anaweza kupigiwa promo na network yake akauza sana kuliko mwenye talent kubwa ambaye hana connection na hajulikani.

Ndiyo maana Guru alisema " the underground is where I dwell at. It's where I find my heaven, and where you find your hell at".

Kutaka kupima uzuri wa sanaa kwa utajiri ni uzembe wa kufanya popularity ya sanaa inaendana na ubora wa sanaa. This need not be the case.Michael Jackson wa Michael Jackson alikuwa Manu Dibango. Lakini Manu Dibango hakupata mafanikio ya kibiashara kama Michael Jackson. Nchi aliyozaliwa tu Manu Dibango na mwaka aliozaliwa tayari vilishampa disadvantage kibiashara akilinganishwa na Michael Jackson.

Ndiyo maana kuangalia ubora wa sanaa kwa utajiri ni uzembe.

Ni sawa na kusema kwamba bidhaa yenye bei kubwa mara zote ni bora kuliko yenye bei ndogo.

Utaibiwa kwa falsafa hiyo.
 
mkuu mbona kila kitu unasema ahsante/au unasapoti ? hata kama ni tango bori umelishwa ? au kwa vile ni verified unaogopa block ? au unawahi kukoment ili uwe wa kwanza unashindwa kuandika comment ya maana iliyoshiba ? nimeona comment zako nyingi, nothing new but unaonekane tu nawe hujapita bila kutia neno,,,,
Sio lazima tufanane kimtazamo
 

Inasemekana hii imetokana na mafanikio yake kwenye biashara zake mbali na muziki ambapo ameingiza mkwanja mrefu sana kwenye DiamondKaranga,ChibuPafyum,Ubalozi wake kwenye kampuni kubwa kama Vodacom na nyingine kibao,

Mpaka june 2016 Diamond alikua na utajiri upatao USD 4 Million sawa na bilioni 8 za kitanzania lakini mpaka kufikia august mwaka 2017 utajiri wake umeongezeka mara mbili.

Diamond kwasasa ndiye msanii tajiri zaidi afrika mashariki akishika nafasi ya Jose Chameleon ambae kwasasa inasemekana ni choka mbaya:

Bado nafatilia kujua Alikiba atakua na utajiri wa kiasi gani mpaka sasa.


Huyu kijana mimi nilishafikia hatua nikadhani kuwa ndiye anayeongoza Afrika kwa utajiri katika kundi la wasanii. Nimesoma habari muda huu kumbe kuna kinara mwingine sijui wa wapi huko anaitwa Akoni. Nashauri sasa afungue miradi mikubwa ya kudumu ambayo itamtoa kisawasawa ili ikiwezekana aweze kuwapiku hao wanaoonekana kuwa wako mbele yake. Kwa staili hiyo ataitangaza zaidi Tanzania. Mimi nadhani kwa utajiri huu alionao, ana haja ya kuanzisha miradi tu yenye tija na kuachana kabisa na mambo ya muziki ikiwezekana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom