Vipimo vyetu ni macho mkuu...mtu anasema anasema ana hela ukienda TRA hasomeki (maana mali unayomilki inatakiwa iendane na kodi unayolipa hata kama umeajiriwa ama umejiajiri kasoro wale wenye vipato ambavyo sheria ya TRA haiwahusu, sasa sijui hawa jamaa taarifa huwa wanatoa wapi sijui)Unaanzaje kufuatilia habari nyingine wakati hii yenyewe umeishia kwenye Inasemekana? Thibitisha kwanza hii ndiyo urukie kwingine.
Wewe vipi wewe ebwoo!! Unadhani hayo mafanikio huwa yanakuja kuja tu!!
una vi element flani hivijamaa ana pesa
Hamna kitu hapo, huyu si ni diamond ndiye aliyemtoa kimuziki??Unataka kujua wanamuziki tajiri east africa?? Bas mchunguze vzur huyuakothee
hahaha, we rav4 unaona ndogo sana?Bilionea anayehonga Ra4 (choka mbaya) kwa mama wa mtoto wake! Kweli Bongo tuna safari ndefu...
uongo ni upi hapo?Huu uwongo mleta mada angelala nao tumbo lingemuuma sana kama sio chango
hamna ni facts tu mzee, jamaa anampunga mnene kuliko boss wakocampaign manager
za tanzania mkuu,Labda bil 18 za Zimbabwe.