Utajiri wa DiamondPlatnumz Wafikia Bilioni 18


Inasemekana hii imetokana na mafanikio yake kwenye biashara zake mbali na muziki ambapo ameingiza mkwanja mrefu sana kwenye DiamondKaranga,ChibuPafyum,Ubalozi wake kwenye kampuni kubwa kama Vodacom na nyingine kibao,

Mpaka june 2016 Diamond alikua na utajiri upatao USD 4 Million sawa na bilioni 8 za kitanzania lakini mpaka kufikia august mwaka 2017 utajiri wake umeongezeka mara mbili.

Diamond kwasasa ndiye msanii tajiri zaidi afrika mashariki akishika nafasi ya Jose Chameleon ambae kwasasa inasemekana ni choka mbaya:

Bado nafatilia kujua Alikiba atakua na utajiri wa kiasi gani mpaka sasa.

misa side chik si habari nzuri sana kwake
 
Duh, chameleone amepitwa??? Naona mnamtaftia kick huyu mtu....Daimond ni mtu wa kawaida, tabaka la wenye pesa kama daimond wapo wengi sanaaa Tanzaniaa....labda umtetee umri wa kupata hzo pesa

Kwa chameleone nakataaa, kushuka umaarufu wa muziki sio kufulia
 
Utu wa mtu ni kazi, pesa ni matokeo.

Kuna watu wanakuwa matajiri kwa sababu wamecheza bahati NASIBU wakashinda.Hawajui kazi yoyote.

Utawasifia kwamba wanajua kazi kuliko watu waliojikita kufanya kazi kila siku?

Kuna wengine usanii wao wakishiba wanakosa feeling, mpaka wawe na njaa ndiyo wanapata feeling ya kuimba vizuri.

Sasa msanii kama huyo ukimlaumu kwa sababu ana njaa kali, unakuwa hujaelewa sanaa yake.

Mzee Morris Nyunyusa kafa na njaa kali kwa standard za utajiri wa Diamond Platnumz mnaousema.

Lakini je, unaweza kusema Diamond Platnumz ni msanii mahiri kuliko Mzee Morris Nyunyusa?
Zama zao zina tofauti kubwa, zamani msanii hakuwa nembo ya biashara
 
Asante kwa gahawa hii mkuu
mkuu mbona kila kitu unasema ahsante/au unasapoti ? hata kama ni tango bori umelishwa ? au kwa vile ni verified unaogopa block ? au unawahi kukoment ili uwe wa kwanza unashindwa kuandika comment ya maana iliyoshiba ? nimeona comment zako nyingi, nothing new but unaonekane tu nawe hujapita bila kutia neno,,,,
 
Utu wa mtu ni kazi, pesa ni matokeo.

Kuna watu wanakuwa matajiri kwa sababu wamecheza bahati NASIBU wakashinda.Hawajui kazi yoyote.

Utawasifia kwamba wanajua kazi kuliko watu waliojikita kufanya kazi kila siku?

Kuna wengine usanii wao wakishiba wanakosa feeling, mpaka wawe na njaa ndiyo wanapata feeling ya kuimba vizuri.

Sasa msanii kama huyo ukimlaumu kwa sababu ana njaa kali, unakuwa hujaelewa sanaa yake.

Mzee Morris Nyunyusa kafa na njaa kali kwa standard za utajiri wa Diamond Platnumz mnaousema.

Lakini je, unaweza kusema Diamond Platnumz ni msanii mahiri kuliko Mzee Morris Nyunyusa?
Alikuwa mpiga ngoma sio mwimbaji (Moris)
 
Zama zao zina tofauti kubwa, zamani msanii hakuwa nembo ya biashara
Hata sasa,kwa anayeelewa sanaa, msanii si nembo ya biashara.

Ila anaweza kuwa nembo ya biashara.

Kwa maana ya kwamba, mafanikio ya biashara hayaoneshi mafanikio ya usanii.

Kwa hiyo, tushindanishe wafanyabiashara kwa biashara, na wasanii kwa sanaa.
 

Inasemekana hii imetokana na mafanikio yake kwenye biashara zake mbali na muziki ambapo ameingiza mkwanja mrefu sana kwenye DiamondKaranga,ChibuPafyum,Ubalozi wake kwenye kampuni kubwa kama Vodacom na nyingine kibao,

Mpaka june 2016 Diamond alikua na utajiri upatao USD 4 Million sawa na bilioni 8 za kitanzania lakini mpaka kufikia august mwaka 2017 utajiri wake umeongezeka mara mbili.

Diamond kwasasa ndiye msanii tajiri zaidi afrika mashariki akishika nafasi ya Jose Chameleon ambae kwasasa inasemekana ni choka mbaya:

Bado nafatilia kujua Alikiba atakua na utajiri wa kiasi gani mpaka sasa.

Pumbavu tuondolee habari za kibwege hapa
 
Wasanii wote wakubwa kinachowalipa ni lucrative business contracts, fuatilia kampuni kubwa duniani na matangazo yao
Bado uko palepale, kuwa msanii mkubwa si kuwa msanii bora.

Kuna wasanii wanakuwa wasanii wakubwa kwa sababu wana network kubwa, wana promotion kubwa, si kwa sababu sanaa zao ni bora zaidi.

Jana nilikuwa nasikiliza "Daily Operation", a seminal album from Gangstarr.

Kuna wimbo unaitwa "Conspiracy".

Kuna sehemu Guru anasema.

"Even in this rap game all that glitters ain't gold
Now that rap is big business the snakes got bold
They give you wack contracts and try to make you go pop
'Cause they have no regard for real hip-hop
They'll compare you to others and say: "but yo, he sells"
And you know in your heart that he's weak as hell
So you say: "I ain't doing that corny stuff"
But they tell ya that your chart positions will go up
Sometimes they front big time and make you many promises
And when they break 'em then your mama says
"son you're making records but that guy seems shady"
It could be too late and your career could be played gee
I hope you listen to the things that I'm sharing see
We all have a job to combat the conspiracy"
 
Awe analipa 5m ya matunzo ya mtoto wake na mobeto ndo ntaamini!...otherwise chaiiiiiiii
 

Inasemekana hii imetokana na mafanikio yake kwenye biashara zake mbali na muziki ambapo ameingiza mkwanja mrefu sana kwenye DiamondKaranga,ChibuPafyum,Ubalozi wake kwenye kampuni kubwa kama Vodacom na nyingine kibao,

Mpaka june 2016 Diamond alikua na utajiri upatao USD 4 Million sawa na bilioni 8 za kitanzania lakini mpaka kufikia august mwaka 2017 utajiri wake umeongezeka mara mbili.

Diamond kwasasa ndiye msanii tajiri zaidi afrika mashariki akishika nafasi ya Jose Chameleon ambae kwasasa inasemekana ni choka mbaya:

Bado nafatilia kujua Alikiba atakua na utajiri wa kiasi gani mpaka sasa.

utajiri wa diamond wewe! unakuhusu nini?? utakufa maskini usipoangalia yanayokuhusu
 

Inasemekana hii imetokana na mafanikio yake kwenye biashara zake mbali na muziki ambapo ameingiza mkwanja mrefu sana kwenye DiamondKaranga,ChibuPafyum,Ubalozi wake kwenye kampuni kubwa kama Vodacom na nyingine kibao,

Mpaka june 2016 Diamond alikua na utajiri upatao USD 4 Million sawa na bilioni 8 za kitanzania lakini mpaka kufikia august mwaka 2017 utajiri wake umeongezeka mara mbili.

Diamond kwasasa ndiye msanii tajiri zaidi afrika mashariki akishika nafasi ya Jose Chameleon ambae kwasasa inasemekana ni choka mbaya:

Bado nafatilia kujua Alikiba atakua na utajiri wa kiasi gani mpaka sasa.

Na wewe unao wa billioni ngapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom