Utajiri unaotolewa na Mwakipande

Utajiri unaotolewa na Mwakipande

Mwenye nafasi atafute filamu moja ya kinaigeria inaitwa Billionaires club, nadhani hakuna atakaebishana na mtoa mada, haya mambo yapo ila pesa yake inakuwa na mwisho mbaya na ni lazima igharimu damu za watu wasio na hatia.

Kuna sehemu nyingine huko kwa wandengereko kunaitwa ngende,ukitaka kuwa tajili lakini uwe unavaa kaniki na kandambili unakaribishwa sana na hata Ulaya utakiwi kwenda wala hotel ya kitalii hurusiwi kuingia na wala mwanamke mrembo hurusiwi kufanya nae mapenzi, na kafara ni lazima umtoe mama yako mzazi na mtoto wako kipenzi.
 
Mkoani Iringa kwenye wilaya ya Njombe kuna mtu anaitwa Mwakipande ambaye alijulikana sana kwa kutoa utajiri mkubwa kwa kila aliyetaka kuwa tajiri mradi amudu masharti yake. Ingawa bwana huyu Mwakipande nasikia amekufa shughuli zake zinaendelezwa na mtoto wake ambaye nasikia anaendelea kugawa utajiri kwa vijana hususani wakinga na wabena ambao wanakuwa matajiri wakubwa katika kipindi kifupi cha chini ya mwaka mmoja.

Miongoni mwa watu/kampuni/biashara nilizopata fununu kuwa zinatokana na miujiza ya mwakipande ni

Sayuni mmiliki alikuwa akiitwa Mahenge-biashara ya mabasi Dar-Mbeya
Kiswele-biashara ya mabasi Dar-Mbeya
Jah people-Malori-mmiliki ni mbunge wa ccm
Widambe-Mabasi Njombe-Dar
Igesa line n.k

Swali langu ni jeh huyu Mwakipande ni kweli anagawa huo utajiri?

Ndugu yangu mbona umetoa maelezo kama unafundisha halafu ghafla unanyoosha mkono unatoa swali??? Unajitekenya mwenyewe je utaweza kucheka??????
 
Ajali za kushangaza hazitaisha, tutabaki kuwalaumu madereva bure
 
Taarifa juu ya Mganga huyo (Mwakipande) toka Njombe zina ukweli kiasi chake.....nasikia Anamtumia JOGOO kubashiri utajiri wako, (yaani kikomo chako) UNAELEKEZWA KUCHOTA MAHINDI..KISHA UNAMTUPIA...HAPO INATEGEMEA NA BAHATI YAKO KWA SIKU HIYO..ENDAPO ATAKULA HINDI MOJA...NI ZAHAMA KWAKO...IT MEANS UTAJIRI WAKO UTADUMU KWA MWAKA MMOJA...Ni hivyo, wengine wanabahatika anakula punje NNE..WENGINE SABA..WAPO WA MBILI..n.k. Wapo wengine hali punje ata moja hivyo masharti ya MZEE Mwakipande yanaongezeka...Ndio simulizi nilizosikia ..na hii ni baada ya binti mmoja, mtoto wa tajiri toka Njombe, alipoamua kuweka wazi chanzo cha utajiri wa baba yake...(sitaki maswali).
 
UTAJIRI WA NGUVU ZA GIZA UPO! NA UNAFANYA KAZI NA NIMETHIBITISHA KABISA HILO! ILA UNAHITAJI UWE NA ROHO NGUMU, SASA KAMA KWELI UNA ROHO NGUMU NIINBOX NIKUPE DIRECTION KUNA SEHEMU TANGA
Weka apa apa uhondo kwa faida ya wengine
 
Fanya kaz ndugu hamna utajir wa kupewa hao unaowaona Leo wamefanikiwa walifanya kaz kwa bidii ndo maana wakafanikiwa,kaa chin weka hesabu zako vizur alafu weka akiba,wekeza kwenye masoko ya hisa baada ya miaka mitano utaniambia.
 
Mkoani Iringa kwenye wilaya ya Njombe kuna mtu anaitwa Mwakipande ambaye alijulikana sana kwa kutoa utajiri mkubwa kwa kila aliyetaka kuwa tajiri mradi amudu masharti yake. Ingawa bwana huyu Mwakipande nasikia amekufa shughuli zake zinaendelezwa na mtoto wake ambaye nasikia anaendelea kugawa utajiri kwa vijana hususani wakinga na wabena ambao wanakuwa matajiri wakubwa katika kipindi kifupi cha chini ya mwaka mmoja.

Miongoni mwa watu/kampuni/biashara nilizopata fununu kuwa zinatokana na miujiza ya mwakipande ni

Sayuni mmiliki alikuwa akiitwa Mahenge-biashara ya mabasi Dar-Mbeya
Kiswele-biashara ya mabasi Dar-Mbeya
Jah people-Malori-mmiliki ni mbunge wa ccm
Widambe-Mabasi Njombe-Dar
Igesa line n.k

Swali langu ni jeh huyu Mwakipande ni kweli anagawa huo utajiri?
Unaumwa nn?, wee c ndo unayemjua huyo MTU na hao ulowataja... Sasa unapoulza HV ni kweli..., Mani unataka akupe ushahid. Na kumbe wee mbea sn...,
 
uwii huku nyanda za juu kusini tunamsikiaga sana huyu jamaa, na ni kweli kabisa asilimia kubwa ya matajiri mbeya na njombe na makete wanatumia nguvu za giza. pale mwanjelwa soko liliungua wafanya biashara walikuwa wakiwaomba wachinga wakawatolee hirizi na mapaka yao walikuwa hawako bize kabsa kuokoa mali zinazoungua. wale waliofanikiwa kuokoa ma nyau walilipwa dau kubwa balaa. soko la makambako hawafuniki matunda yao alafu yako tu barabarani ila hakna anayeiba maana yanajua what next! yaani watoto wa huku ni vigumu hata kuingia katika shamba la mtu kuchuma matunda sio anaona aibu kuonekana mwizi ila ni kwa sababu ya imani ya kishirikina. lol
 
Sasa MTU masikini kama mganga wa kienyeji akupe wapi utajiri wakati ye ni masikini me najua afanyacho ni kukujenga kisaikologia Kwa kukupa mashariti yanayolimiti matumizi ya kiiingiacho (saving) kitu ambacho ni rahisi hata wwe kufanya hakuna anayewezatajirika Kwa kukaa tu hata hayo makabila ni mabahili na hard worker, wangekuwa na nguvu za kutenda miujiza hio mbona walishindwa kuwazuia wakoloni kututawala na kutuchukua utumwani.Mganga wa maisha yako ni wewe mwenyewe zaid ya hapo unataka kugeuzwa Mteja. Hakuna uhusiano utajiri na uvivu.
 
Baada ya miaka mitano wenyew wanachukua chao kama sio mtikisiko wa medula basi utajikuta upo congo kwenye machimbo ya almasi ushakatwa ulimi take care easy come,easy go.
 
Mkoani Iringa kwenye wilaya ya Njombe kuna mtu anaitwa Mwakipande ambaye alijulikana sana kwa kutoa utajiri mkubwa kwa kila aliyetaka kuwa tajiri mradi amudu masharti yake. Ingawa bwana huyu Mwakipande nasikia amekufa shughuli zake zinaendelezwa na mtoto wake ambaye nasikia anaendelea kugawa utajiri kwa vijana hususani wakinga na wabena ambao wanakuwa matajiri wakubwa katika kipindi kifupi cha chini ya mwaka mmoja.

Miongoni mwa watu/kampuni/biashara nilizopata fununu kuwa zinatokana na miujiza ya mwakipande ni

Sayuni mmiliki alikuwa akiitwa Mahenge-biashara ya mabasi Dar-Mbeya
Kiswele-biashara ya mabasi Dar-Mbeya
Jah people-Malori-mmiliki ni mbunge wa ccm
Widambe-Mabasi Njombe-Dar
Igesa line n.k

Swali langu ni jeh huyu Mwakipande ni kweli anagawa huo utajiri?
Je umejaribu kuuliza wazawa kama nikweli au umeamua kutoa yako,,usije ukawa unasimulia yakusimuliwa,,,......
 
Duh!na unipite tu pembeni bora nife na shida zangu.
Masharti yenyew ukutte ndio yale ya kuangamiza ukoo ili utajiri usiishe.
 
Mwakipande wa Makete
Kuna mwingine Mwandulami yeye ana hospitali ya kawaida na pia ni mganga wa kienyeji
 
NYIE MNAOPINGANA N'A MLETA MADA ACHENI UNAFKI...UTAJIRI WA NDUMBA UPO N'A HAO WOTEALIYOWATAJA WAMEFILISIKA KITAMBO TU..
SEMA UTAJIRI HUO HAUNA MPANGO...MAANA SIKU ZOTE MWISHO WAKE NI MMBAYA,

OVA
 
Back
Top Bottom