Utajiri bila soko ni ujinga

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Feb 5, 2013
9,151
33,330
Marekani na China Ni nchi Matajiri Sana lakini kila moja inaitegemea nyingine. Marekani anazalisha Sana na anaiuzia China, China pia anazalisha Sana na anaiuzia Marekani.

Sisi hatuzalishi chochote Cha kiwandani Cha kuweza kuwauzia Mabeberu, Wala hatulimi Sana kushinda hata India China na Brazil.
Madini tuliyonayo hata Urusi na kongo kwa uchache wanayo.
Utalii hata Kenya na Botswana upo.

Mabeberu vitu vyao Ni :-
Vitabu,
Madawa,
Vifaa tiba,
Ujenzi wa miundombinu,
Machine,
Mitambo,
Magari,
Treni,
Meli,
TV,
Umeme,
Bodaboda,
Vifaa vya kupimi,hata kupimia korona, aids,
Hela,
Vifaa vya kuchimba madini na visima,
Silaha,
Lada za uwanja wa ndege na jeshini,
Toothpick,
Visafisha masikio,
Masoko ya fedha na bidhaa,hasa za mashambani Kama korosho na kahawa,
N.k.
Nilikua nimesahau kumbe na "Bombadia"zinatoka kwa mabeberu.

Hivi vyote wanatengeneza wao na tunavihitaji sana. Kila siku tuko kwa screen Za TV zilizotengenezwa na Mabeberu tunauza sura na kutoa matamko makali hata kuwaponda Mabeberu.

Sisi sio kisiwa, hata Urusi na China maadui wakubwa wa Mabeberu wanawahitaji Mabeberu kuliko sisi, nao Mabeberu wanawahitaji Warusi na wachina Sana.
 
Huyu jamaa sijui kwa nini Mungu aliruhusu awe hapo alipo kama ni kujifunza nadhani ile ya kwanza ilikuwa darasa tosha sana, now is in🖐🏾 again na kauli ndiyo kama hizo mmmh!!.

Nadhani kuna shida sehemu, mtu huna shamba unataka kuuza mazao how?
 
Wanakuja sasa hiv kunib hoja yako
Detective
Hatutakiwa kuwaabudu Mabeberu,lakini hatutakiwa kuwatukana,kuwatenga na kuwadhihaki,tunawahitaji kufanya nao biashara na ushirikiano mwingine.

Wait Wana vitu wanavihitaji kutoka kwetu,na sisi tunahitaji vitu kutoka kwao.

Je Ni Nani anamhitaji mwenzie zaidi?

Vyoo vya Shule to huwa wanatusaidia kwa hisani ya mabeberu,tajiri miaka 50 ya kuzitawala vyoo vya Shule hujamaiza kujenga.Tajiri.
 
Detective
Hatutakiwa kuwaabudu Mabeberu,lakini hatutakiwa kuwatukana,kuwatenga na kuwadhihaki,tunawahitaji kufanya nao biashara na ushirikiano mwingine.

Wait Wana vitu wanavihitaji kutoka kwetu,na sisi tunahitaji vitu kutoka kwao.

Je Ni Nani anamhitaji mwenzie zaidi?

Vyoo vya Shule to huwa wanatusaidia kwa hisani ya mabeberu,tajiri miaka 50 ya kuzitawala vyoo vya Shule hujamaiza kujenga.Tajiri.
Perfect explanation. Yes the thing sisi tunawahitaji wao zaid kuliko.
Na hili wanalijua. Sisemi tuwaogope tueanyenyekee nope hapana
Bali kuwe na heshima kati yetu. Hii kitu ya kudharau na kuwaita majina mabaya.. wkt bado tuwategemea.. itatukosti?
Hawa jamaa wakiamua kufunga mlango mwezi tu. Akili zitatukaa sawa.
Tuwe wastaraab na hizi siasa
 
Hakuna maendeleo bila kushirikiana na mabeberu, wao ndio wenye mifumo yote ya maendeleo
 
Sisi tuna KILA kitu tele lakini tumeshindwa hata kumaliza tu njaa hatuwezi. Ni aibu Sana eti mafuta ya kula bei juu eti hata hayo hatuwezi kulima
 
Back
Top Bottom