Utahamia lini kijijini?

Mkuu huyu muhuni tu story kaandika ya kutunga huoni katumia chat gpt
 
Huyu anafurahisha genge.
Kupambana na Hao wanyama ni shughuli pevu.
Hata hizo sauti za ndege anazosema, ingekuwa nadra sana kweke kuzisikia....mziki wake wa kila siku ungekuwa ni sauti za kitimoto.
Kwa scale ya nguruwe idadi yake kiukwel kupambana nao sio mchezo. Mi ninao 7 ambao sasa wanakaribia kupandishwa, najua wakifyatua watoto mziki wake utachange kabisaaaa gharama za chamula zita shoot, japo kwasasa nawamudi bila rabsha
 
Mkuu uneyapatia sana maisha.
Aisee kama usemavyo ni kweli hata Mimi umenihamasisha kuhama mjini kwenda village.
Hayo ni maisha ambayo Yana utulivu yasiyo na complications yeyote Ile.
 
Inaonekana hujawahi kuishi maisha ya kijijini bro.
Nimewahi kutembelea kwa mkwe wangu Singida, Wana ng'ombe zaidi ya 30,mbuzi ,kuku na kanga na wanaishi wanne tu wakwe na shemeji zangu wawili ila Wana manage mambo yote hayo.
Ishu ni kujipangilia tu na namna ya kuwatunza hao mifugo.
 
Una wafanyakazi wangapi ? Hakika maisha yako nimeyapenda hao kuku hswakutoi jasho aisee ?

Nunua gari dogo kama corolla uwe unatoka hata jumapili unaingia katika ya mji unakula bata alafu unarudi zako nyumbani
Nimependa sana aisee
 
Mkuu uneyapatia sana maisha.
Aisee kama usemavyo ni kweli hata Mimi umenihamasisha kuhama mjini kwenda village.
Hayo ni maisha ambayo Yana utulivu yasiyo na complications yeyote Ile.
Acha ushamba hii story imeandika na A.I chatgpt sisi wataalamu tunajua how chatgpt behave ikiandika kitu...pia picha kadowload mitandoni Hapo sio tanzania

So calm down sio kila kitu unakiona Mtandoni ni chenyewe story ni kutunga na chatgpt kaja kapaste washamba mnajaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…