Utafutaji wa pesa unaathiri afya za watu, mfumo sahihi wa maisha unabadilika

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Aug 1, 2014
2,552
2,990
Maisha wanayoyataka Taasisi za kidunia ni aina ya maisha ya utumwa ambapo wanaforce kila jambo liwe fursa na kwa sababu hii ndiyo ugumu wa maisha unazidi kuongezeka.

Imagine zamani mtu anatoka home saa 12 asubuhi halafi anarudi 5 kutoka shamba, anapata muda na familia yake, muda wa kupata stori za Yanga na Simba, labda kusaidia kazi za nyumbani N.K.

Imekuwa tofauti kabisa katika zama hizi za Noti, kuna uharibifu mkubwa wa maadili huku tunajisifu kuwa ndiyo maendeleo, watu wanatembea uchi uraiani mpaka mtandaoni, MAGONJWA ya kusababishwa ili tu, zitengenezwe fursa, afya zinakuwa mbovu.

Kazi zinatutenganisha na familia zetu watoto wanakosa malezi sahihi, na upande wa bidhaa utengenezaji mbovu wa bidhaa umekuwa mwingi mpaka kuathiri afya za watumiaji lakini kwa kuwa tumeruhusu sera za kigeni na umasikini wetu wa akili unachangia bado tunaendelea kuwa watumwa kwenye nchi yetu.

NAWASILISHA
 
Maisha wanayoyataka Taasisi za kidunia ni aina ya maisha ya utumwa ambapo wanaforce kila jambo liwe fursa na kwa sababu hii ndiyo ugumu wa maisha unazidi kuongezeka.

Imagine zamani mtu anatoka home saa 12 asubuhi halafi anarudi 5 kutoka shamba, anapata muda na familia yake, muda wa kupata stori za Yanga na Simba, labda kusaidia kazi za nyumbani N.K.

Imekuwa tofauti kabisa katika zama hizi za Noti, kuna uharibifu mkubwa wa maadili huku tunajisifu kuwa ndiyo maendeleo, watu wanatembea uchi uraiani mpaka mtandaoni, MAGONJWA ya kusababishwa ili tu, zitengenezwe fursa, afya zinakuwa mbovu.

Kazi zinatutenganisha na familia zetu watoto wanakosa malezi sahihi, na upande wa bidhaa utengenezaji mbovu wa bidhaa umekuwa mwingi mpaka kuathiri afya za watumiaji lakini kwa kuwa tumeruhusu sera za kigeni na umasikini wetu wa akili unachangia bado tunaendelea kuwa watumwa kwenye nchi yetu.

NAWASILISHA
Naunga mkono hoja. Pesa ina tabia ya kuleta uraibu, addiction ndo maana inapendwa, na waliolta pesa wanajua kuwa pesa hutengeneza watumwa kwa vile kila mtu hupenda kazi ngumu ifanywe na mwingine kwa sababu ana pesa, pesa sio tatizo tatizo ni kuifanya pesa kuwa karatasi, yaani un print tu then unalipa watu, ndo maana vita haziishi duniani kwa sababu una print tu, fedha irudi kubadilishwa na dhahabu ama silver tuheshimiane
 
Pesa ni lazima itafutwe na malezi yenye maadili lazima yawepo,, muhimu wenza wa familia husika wawe na mipango ya badae kuhusu familia sio baba kuanzia mtoto yuko chekechea mpaka anafika chuo unaendaga kazini tuuu yani saa 12 kazini saa tatu usiku nyumbani.
 
Maisha wanayoyataka Taasisi za kidunia ni aina ya maisha ya utumwa ambapo wanaforce kila jambo liwe fursa na kwa sababu hii ndiyo ugumu wa maisha unazidi kuongezeka.

Imagine zamani mtu anatoka home saa 12 asubuhi halafi anarudi 5 kutoka shamba, anapata muda na familia yake, muda wa kupata stori za Yanga na Simba, labda kusaidia kazi za nyumbani N.K.

Imekuwa tofauti kabisa katika zama hizi za Noti, kuna uharibifu mkubwa wa maadili huku tunajisifu kuwa ndiyo maendeleo, watu wanatembea uchi uraiani mpaka mtandaoni, MAGONJWA ya kusababishwa ili tu, zitengenezwe fursa, afya zinakuwa mbovu.

Kazi zinatutenganisha na familia zetu watoto wanakosa malezi sahihi, na upande wa bidhaa utengenezaji mbovu wa bidhaa umekuwa mwingi mpaka kuathiri afya za watumiaji lakini kwa kuwa tumeruhusu sera za kigeni na umasikini wetu wa akili unachangia bado tunaendelea kuwa watumwa kwenye nchi yetu.

NAWASILISHA
Upo sahihi mkuu

Maisha yamebadilika sana
 
Back
Top Bottom