Nyamwage
JF-Expert Member
- Oct 16, 2020
- 633
- 1,536
Habari ya sikukuu
Mtoko wangu wa leo sikutaka kwenda kuponda raha niliingia hapo mbezi stendi kuangalia hawa ndugu zetu walio jiajiri ili nijifunze vitu vipya ambavyo sivijui hawa watu wanaamka saa kumi za usiku na kulala mida mibovu sana middle of the night aisee utafutaji wao ni mgumu sana hata ukiwaangalia usoni sura zao zimekosa nuru siuoni umilionea katika nyuso zao
Mazingira yao ni magumu mama ntilie wako juani maji ni changamoto kwao nifupishe tu story kujiajiri bila ya kuwa na mtaji wa kueleweka ni kugumu sana imagine mpiga debe a.k.a MD anavyo mshawishi na kumshobokea mtu mpaka akubali ili muongozane katika office ukakate nae ticket ili na yeye apate chochote kitu wengine hua hawafanikiwi wanaambulia kauri chafu toka kwa abiria
Mtoko wangu wa leo sikutaka kwenda kuponda raha niliingia hapo mbezi stendi kuangalia hawa ndugu zetu walio jiajiri ili nijifunze vitu vipya ambavyo sivijui hawa watu wanaamka saa kumi za usiku na kulala mida mibovu sana middle of the night aisee utafutaji wao ni mgumu sana hata ukiwaangalia usoni sura zao zimekosa nuru siuoni umilionea katika nyuso zao
Mazingira yao ni magumu mama ntilie wako juani maji ni changamoto kwao nifupishe tu story kujiajiri bila ya kuwa na mtaji wa kueleweka ni kugumu sana imagine mpiga debe a.k.a MD anavyo mshawishi na kumshobokea mtu mpaka akubali ili muongozane katika office ukakate nae ticket ili na yeye apate chochote kitu wengine hua hawafanikiwi wanaambulia kauri chafu toka kwa abiria