Smokey D
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 2,632
- 2,114
Shit hii picha kila kona..Na wewe haujawahi kuona manundu niniView attachment 328581cheq nundu iyo mzee wa booty
Shit hii picha kila kona..Na wewe haujawahi kuona manundu niniView attachment 328581cheq nundu iyo mzee wa booty
Sawa mkuuNilijua tu kuna watakosema hawamuogopi mdudu nyama rider..
Naona mnapenda!! msiwaze hatakaa awaogopeshe
Mkuu pikipiki imetuna tayari, mambo yangu hayoView attachment 328581cheq nundu iyo mzee wa booty
Mtaje tafadhari sote tumjue.kweli ila yule mdudu wa jicho moja hatuogopi huwa hadi tuna muweka mdomoni
kweli ila yule mdudu wa jicho moja hatuogopi huwa hadi tuna muweka mdomoni
hahaha. Tupiako bac picha ya kwakoShit hii picha kila kona..Na wewe haujawahi kuona manundu nini
Chura na jongoo siyo wadudu! Thread yko ina ukweli pia kuhusu wanawake kuogopa viumbe mbalimbali ukilinganisha wanaume ingawa wanataka 50 kwa 50 ikiwezekana hata kesho!
Yaani mimi huu ujasiri mpaka najishangaa... kuna siku nilienda bush kwa grandpa, ile nachomoka kichakani nikakutana na bonge la puff adder ( mkubwa na mnene ka kilo 120) yaan fasta nilimdaka shingoni na mimeno yake nilimpiga ngumi mbili za uso ( tough fist) niliona mwenyewe anaishiwa nguvu sijui alikufa maskini!...so sio kila ke ni mwoga
Teh teh!....in view of that situation, sikuwa na jinsi rather than a confrontation!...yani ujasiri wangu ni ule wa ghafla nikiwa in danger zone.Mmh... Itakua ulinyweshwa damu ya nyoka utotoni.
aisee!naona uzi umeshavamiwa! kuna mwanadada akiona panya tu,anakimbia huku anatoa nguo alizovaa anadai zinamchelewesha kukimbia!View attachment 328581cheq nundu iyo mzee wa booty
hahahaaisee!naona uzi umeshavamiwa! kuna mwanadada akiona panya tu,anakimbia huku anatoa nguo alizovaa anadai zinamchelewesha kukimbia!
Acha mbwembwe,sisi wengine HKL,hao wote wadudu, hayo mambo ya phylum,cjui class,kingdom tunawaachia nyie wazee wa Bioz!ila mtoa mada umeeleweka!1.Mende:
Kingdom-animalia.
Phylum-anthropoda.
class-insecta
Mende ni mdudu.
2.Chura:
Kingdom-animalia.
Phylum-chordata.
class-amphibia.
Chura si mdudu ni amfibia.
3.Kiwavi wa kipepeo.
Kingdom-animalia.
Phylum-anthropoda.
Class-insecta.
kiwavi ni mdudu.
4.Jongoo:
Kingdom-animalia.
Phylum-anthropoda.
Class-diplopoda.
Jongoo si mdudu.
5.Nyoka:
Kingdom-animalia.
Phylum-chordata.
Class-reptilia.
Nyoka si mdudu ni reptile.
Yaani mimi huu ujasiri mpaka najishangaa... Nini mende, chura sijui kinyonga!??!!...kuna siku ka miezi 2 iliyopita nilienda bush kwa grandpa, ile nachomoka kichakani nikakutana na bonge la puff adder ( mkubwa na mnene ka kilo 120) yaan fasta nilimdaka shingoni na mimeno yake nilimpiga ngumi mbili za uso ( tough fist) niliona mwenyewe anaishiwa nguvu sijui alikufa maskini!...so sio kila ke ni mwoga
Muoga hivo!!Nachukia wadudu vibaya mno. mwili unasisimka kweli nikikutana na mdudu au bahati mbaya sijamuona na yupo karibu yangu. agrrrrr!!