Kakwambia source REDET halafu unasema acknowldgement. Pls!!!!!!!Acknowledge source please
Umebanwa...eeeh!Rubbish and completely nonsense!
Umebanwa...eeeh!
Tunaomba na page za sampling yao. Ni watu wa wapi hao waliowahusisha? Kwa ujumla ukiangalia hizo results utagundua kuwa CHADEMA imefanya vyema baada ya Dr Slaa kutangazwa mgombea. Maana yake ni kwamba CHADEMA walikosea saana kuanza mikakati ya mgombea Urais. Pia wangepata Mgombea mwenza ambaye ni sahihi basi huenda na yeye angeongeza kura kwa kiasi fulani.
Halisi, mbona taarifa za awali jana ilishasemwa kuwa Kikwete 88 % na wengine wote wanagawana zile 12 % zilizobaki? Hata hivyo hakuna haja ya kujadili kitu cha kinadharia, attach ripot tusome contents halafu tuendelee. Msema ukweli ni wapiga kura jamani, hizi taarifa za sample surveys zinaweza kutugombanisha bure!!!!
Acknowledge source please
31.10.2010 Ndio itadhihirisha ukweli kwamba REDET ni taka taka. Hili la Kikwete na Slaa halihitaji kuambiwa nani anaongoza kwa kupendwa.