TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,765
- 4,033
Kuna mpango wa Utafiti wa Elimu ya democrasia wa chuo kikuu cha Dar es salaam(REDET) wa kuaandaa taarifa zitakazoonyesha kuwa mgombea uraisi wa CCM,Jakaya Kikwete,amepata ushindi wa asilimia 80% katika kura za maoni zitakazopigwa hivi karibuni.
Taarifa zinasema vijana waliopelekwa na REDET kufanya kura ya maoni wamenyimwa madaftari ya wakazi ambamo wangeopoa mtu mmoja mmoja wa kuuliza.Badala yake wanukuu maoni wamekuwa wakielezwa kuwa wanukuu maoni ya wajumbe wa nyumba kumi (Balozi) wa CCM na mashabiki wakubwa wa chama hicho,uataratibu ambao utaonyesha kuwa wanaopenda CCM na Kikwete ni wengi.Ripoti ya REDET imepangwa kutolewa wiki mbili kabla ya uchaguzi mkuu wa 31 October 2010 ikionyesha mshindi kuwa Kikwete kwa asilimia 80.
(Source:MwanaHalisi,October 6-12,2010, "Njama za kuiba kura hizi hapa",pp, 1-2)
REDET sasa inaanza kutumiwa kisiasa kusaidia CCM ishinde,kwa sasa hiki siyo chombo huru tena na matokeo ya tafiti zake yapuuzwe!
UPDATES:
7th Sept 2010: REDET wametangaza KIKWETE atapara ushindi 71% kura zao za maoni na Dk. Slaa 12%
To get the report in full CLICK HERE
Taarifa zinasema vijana waliopelekwa na REDET kufanya kura ya maoni wamenyimwa madaftari ya wakazi ambamo wangeopoa mtu mmoja mmoja wa kuuliza.Badala yake wanukuu maoni wamekuwa wakielezwa kuwa wanukuu maoni ya wajumbe wa nyumba kumi (Balozi) wa CCM na mashabiki wakubwa wa chama hicho,uataratibu ambao utaonyesha kuwa wanaopenda CCM na Kikwete ni wengi.Ripoti ya REDET imepangwa kutolewa wiki mbili kabla ya uchaguzi mkuu wa 31 October 2010 ikionyesha mshindi kuwa Kikwete kwa asilimia 80.
(Source:MwanaHalisi,October 6-12,2010, "Njama za kuiba kura hizi hapa",pp, 1-2)
REDET sasa inaanza kutumiwa kisiasa kusaidia CCM ishinde,kwa sasa hiki siyo chombo huru tena na matokeo ya tafiti zake yapuuzwe!
UPDATES:
7th Sept 2010: REDET wametangaza KIKWETE atapara ushindi 71% kura zao za maoni na Dk. Slaa 12%
To get the report in full CLICK HERE