sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,034
Nimefanya utafiti nimegundua kundi kubwa la graduates wasio na ajira au wanaofanya kazi zinazoweza kufanywa na mtu mwenye Elimu ya chini wanajishusha elim zao
kundi hili hudanganya wana elim ya form 4, form 6 na wakienda sana basi ni Diploma.
Sizungumzii ile kujishusha ili upate kazi inayohitaji cheti cha chini, hapa nazungumzia mtu hataki kabisa na anachukia watu wajue ana Degree au Masters
Hii yote nahisi ni kukosa confidence
kundi hili hudanganya wana elim ya form 4, form 6 na wakienda sana basi ni Diploma.
Sizungumzii ile kujishusha ili upate kazi inayohitaji cheti cha chini, hapa nazungumzia mtu hataki kabisa na anachukia watu wajue ana Degree au Masters
Hii yote nahisi ni kukosa confidence