Utafiti: Mnyika kurudi bungeni ni 100%

Utafiti: Mnyika kurudi bungeni ni 100%

Kumbe we umekuja juzi tu hapa! ah! tunabishana na wakuja tu, we humjui hata mzee Mfuga mbwa wa tip top, hupajui hata kwa mkata kimeo, we pale kwe daraja la manzese hujui kama ndio msufini, huwajui hata waimba mnanda wa mwanzo Hisani gari kubwa, kifupi hujui hata biti kaenga mwenyewe wa Mburahati alikuwa anakaa wapi, Jimbo la Ubungo limeharibiwa na siasa za kitoto za huyo dogo, sidhani kama atarudi mjengoni labda kwa kuteuliwa.
Teh teh teh teh nimecheka sana.
 
Ni kweli anauwezo na msikivu maana kuna kipindi nilimuonya kuhusu kupambana na zzt kwenye majukwaa badala ya kueneza sera za chama na akasikia hila nina wasiwasi kama na zzt kama ataamua kugombea jimbo la ubungo?
 
Blah blah kibao,
wana Ubungo ndio tutaamua,hataki kukanyaga huku anajua maji yalimshinda,na ndio kitakachomuua.

Sema uko ubungo mtaa gani...? Mtaa upi.. Kitongaji gani mnyika hajafika... Kama nyumbani kwako. Sijui..!!
 
kurudi kwa mnyika bungeni labda jimbo la ubungo ligawanywe mar 2 lakini likibaki kama lilivyo akiamungu ananguka vibaya sana
 
Ntakuwa Nawaletea Utafiti wa Wabunge wa Mkoa wa Dar Es Salaam.
 
mwenye uhakika wa jambo lolote kwa asilimia 100 ni Mungu tu wengine tunabahatisha, hivyo Mnyika hana asilimia hizo

Kwa kuwa cdm ni mpango wa mungu basi hiyo tu inatosha kumpa mh Mnyika 100% kuwa mbunge tena,siyo chama cha mafisi
 
HAAAAAAHAAA ati mnyika atarudi Bungeni, hii ni ndoto ya mchana kweupe , ubunge atausikia kwenye redio tu, na ndio sababu kaamua kujipa unaibu wa saccos ili abaki na posho ya saccos baada ya kukosa ubunge
Is that all you can share with us....kwenye utafiti ka huu? Tatizo sio lako...tatizo n div 5 tuuu
 
Wamtoe J.Mnyika wamuweke nani sasa:what:Natamani sana huyu jamaa ndio angekua mbunge wangu huku kwetu Songea mjini

Mkuu hata hapo songea cdm kuna mtu anakuja hapo utayafurahia maisha
 
well said stroke, lakini ukumbuke prof. Lipumba, mbatia, mbowe na ukawa walikuwa na uhakika wa 100% kuwa kura ya maoni april 30 isingewezekana na hawakuwa mungu wala 'miungu'!!


mukuu,wewe ni chiboko kama chigomaa
 
Back
Top Bottom