[
Maccm mna shida,hivi kinondoni hakuna Mbunge,segerea,ukonga,na Ilala?
Uliwahi kusikia wanaitisha hata maandamano ya kupinga kuhamishwa kwa machinga?, siku akina mama walipoandamana ulimdikia zungu?
Ni dhahiri,kwa kuwa wabunge wa ccm, huwa hawahangaiki na matatizo ya watanzania kwa kuwa gharama za kuupata ubunge ndani ya ccm ni hatari,huwa wanachangamkia madili!
Mnyika, tunamfananisha na Daniel,2015 watanzania wanahitaji akina Jj Mnyika kama 100 hivi tu,Tanzania itakuwa Dubai ya Afrika
QUOTE=Mahesabu;12755055]Katika andiko hili la jimbo la Ubungo, je eneo letu la MANZESE, MBURAHATI, MAGOMENI n.k pameguswa na miradi ya Mnyika?? Je idadi ya wapiga kura maeneo tajwa yamefananishwa na huko Kimara, ubungo na Mbezi?[/QUOTE]