Utafiti: Mnyika kurudi bungeni ni 100%

Utafiti: Mnyika kurudi bungeni ni 100%

HAAAAAAHAAA ati mnyika atarudi Bungeni, hii ni ndoto ya mchana kweupe , ubunge atausikia kwenye redio tu, na ndio sababu kaamua kujipa unaibu wa saccos ili abaki na posho ya saccos baada ya kukosa ubunge

Mnyika ni zaidi ya wabunge 100 mizigo wa ccm
 
HAAAAAAHAAA ati mnyika atarudi Bungeni, hii ni ndoto ya mchana kweupe , ubunge atausikia kwenye redio tu, na ndio sababu kaamua kujipa unaibu wa saccos ili abaki na posho ya saccos baada ya kukosa ubunge


mnyika ataendelea kuwa mbunge wa ubungo forever

HAAAAAAHAAA ati mnyika atarudi Bungeni, hii ni ndoto ya mchana kweupe , ubunge atausikia kwenye redio tu, na ndio sababu kaamua kujipa unaibu wa saccos ili abaki na posho ya saccos baada ya kukosa ubunge
 
nikukumbushe rafiki yangu Simiyu Yetu
kikao cha ndani alichokifanya mangula ubungo kikao hicho kilikuwa kinajaribu kutengeneza propaganda za kijinga against Mnyika ambayo kazi yo walipewa vijana maarufu kwa jina la Book 7 soon tuttayaweka wazi haya kwa wananchi with facts

kama una taarifa waulize mabosi wako
Mkuu kupigizana kelele na simiyu ni kupoteza muda wako kwani anatumika kama kandambili,hajui lolote ndani ya ccm
 
Last edited by a moderator:
Mi binafsi nakaa Arusha na ni mwanachama wa ccm lkn Mnyika namkubal sana wanaubungo tunawaomba msimwangushe huyo kijana kwan anatetea masirah ya nchi nzima!
Mkuu sisi wana ubungo hatuwezi kumchague mtu mwingine zaidi ya mh mnyika.
 
Nikiulizwa ni mbunge gani bungeni hadi sasa katika bumnge la jamhuri ya Muungano wa Tz niliywahi kumuona anajuwa kujenga hoja sitatafuna maneno nitamtaja JJ Mnyika.
 
kama wana ubungo wataacha kumchagua mh. mnyika basi ubungo watakuwa welaaniwa. mnyika ametimiza wajibu wake ipasavyo kama mbunge.
 
Mnyika hata siku moja hawezi kushinda uchaguzi. Hapa Ubungo hakina maji miaka yote. Barabara zote ni mbaya mfano barabara ya kwenda Kibangu. Mnaotaka kujifurahisha mjifurahishe na topic zenu mitandaoni.
 
Mnyika hata siku moja hawezi kushinda uchaguzi. Hapa Ubungo hakina maji miaka yote. Barabara zote ni mbaya mfano barabara ya kwenda Kibangu. Mnaotaka kujifurahisha mjifurahishe na topic zenu mitandaoni.

Anzia kwa wazee wako Bushi ndo uje mjini kumhukumu Mnyika... Pamoja Jeografia ndogo ya jimbo la Ubungo, jumla ya 68km za barabara za njia 4 na 2 zimejengwa Ubungo. Tofauti na majimbo mengine ya mkoa wa Dar es Salaam.
 
Mnyika hata siku moja hawezi kushinda uchaguzi. Hapa Ubungo hakina maji miaka yote. Barabara zote ni mbaya mfano barabara ya kwenda Kibangu. Mnaotaka kujifurahisha mjifurahishe na topic zenu mitandaoni.

Miaka 54 ya uhuru bado unalalamikia ubovu wa barabara? Pole sana mkuu
 
Mkuu usijisumbue. Fanya shughuli zingine, Mnyika kashawapiga goli dakika za nyongeza. Ukiweza sana mwombee afe. Lakini mradi yu hai, mmeshachemsha

Mkuu mzito haya magamba hata ukiyaelewesha namna gani,hayaelewi,hadi october tuyaondoe magogoni
 
Back
Top Bottom