Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 54,531
- 43,919
Nilikuwa nadhani utaweka maneno yake kwenye kampeni alivyokuwa anatoa ahadi kumbe unaniletea barua.Mnyika hakutoa ahadi ya kuanza mradi mpya wa maji. Mnyika alitoa ahadi ya kufuatilia kukamilisha miradi ya maji. Ndivyo wabunge wote wanavyofanya.
Mnyika amefuatilia sana na rekodi zipo. Mnyika alipeleka hata hoja binafsi bungeni ya kuangalia hatua za dharura za kutatua tatizo la maji. Aliyekwamisha tunamjua, si Mnyika.
Tunajua ubaguzi wako, na roho ya chuki kwa wasio waislamu, na tutakuwa tunakumbusha hili kila mara.
Barua ya Mwisho ya Mnyika kwa JK
Najua mkishindwa hoja mnakimbilia kwenye udini.