Utafiti juu ya sera mfumo kristo

Utafiti juu ya sera mfumo kristo

mtoa mada amefanya uchambuzi na ku-draw conclusion basing on only two referrences,, tena moja ndo kaitumia zaidi. so kwangu ni kama uchambuzi wa kitabu cha mtu mmoja,, which is fine i suppose,, but not entirely credible. hizi hoja ni statistically insignificant ukiangalia kwa jicho la tatu, tatizo hasa ni mfumo na sera zinazoambatana na dini hizi mbili. hamna shule za wakristo zinazokataa waislam,, ni jitihada na upeo wa mzaz na mwanafunzi.
 
funga thread upuuzi hu we utaki kwenda shule unaleta maneno.wakristu wanatoa mchango na sadaka za kuendeleza mirad ya elimu na afya nyie ikitolewa buku mnabagain.

Hapo sasa wanasema wachungaji wanatuibia,matapeli,wanakula sadaka!!!
 
Mada haina mantiki na ushahidi ni chuki tu.kihistoria waislamu tangu miaka ya awali hawajali elimu ya kuwaendeleza zaidi ni madrasa yaani Elimu ahera.Wakristo kiasili husoma elimu ya maisha zaidi kuliko kukazania dini zaidi.Wakristo hufundishwa dini,upendo,kusameheana na elimu ambayo ndugu zetu waislamu si hivyo.Shule nyingi zilijengwa na Wamishenari kipindi cha ukoloni na si waarabu.Wasomi wengi miaka ya mwanzo wa uhuru walikuwa wakristo.Shule za seminari na hata zinazoendeshwa na wakristo ni bora zaidi kitaaluma kuliko za kiislamu sababu ni uendeshaji bora wa shule,mitaala na ufundishaji.Angalia Kirinjiko,Ubungo Muslim,Kinondoni Muslim,Al Haramain,Istiqama hazijawahi kutoa matokeo mazuri kulinganisha hata na baadhi ya shule za serikali za mchanganyiko hata za jinsia moja.Huu mfumo kristo ni maneno ya kujidanganya,hata wanafunzi wa vyuo wakristo wanafanya vizuri kwa misingi mizuri waliyotoka nayo elimu za chini.Ajira nchini Tanzania haijawahi kuangalia dini ya mtu bali uwezo wa kufanya kazi vizuri.Huu ubaguzi unaletwa na ndugu zetu waislamu kwa mfano IFAKARA HEALTH INSTITUTE ina udini sana na wanapendelea waislamu kuanzia juu hadi chini ni aibu kwa taifa.SIJAWAHI KUSIKIA AJIRA HATA KATIKA MASHIRIKA YA KIMATAIFA NA WATU BINAFSI WANAAJIRI KWA DINI YAKO BALI NI UWEZO WAKO KITAALUMA NA KUFANYA KAZI KWA BIDII ILI ULETE UFANISI .Someni sana,fauluni sana mlitumikie taifa badala ya kuleta uzushi kuwa mwaonewa nafasi nyingi mmeteuliwa lakini bado hamridhiki mnaibuka na ooh serikali inawaonea waislamu kuna nafasi za mashirika ya umma,ukatibu mkuu,uwaziri,ukuu wa mikoa,ukuu wa wilaya,ukuu wa vyuo vikuu.WAKRISTO HAWASEMI CHOCHOTE MUNGU ANAWAPIGANIA WAO HUMUOMBA MUNGU AWALINDE.SIINGIZI UDINI NASEMA HALI HALISI.SIWEZI KUWA ADUI KWA KUSEMA UKWELI.

uongo uongo wamishinari siji wapuuzi gani hawaja jenga hata shule moja , shule zilijengwa na serikali na kuwakabizi wao , ni jasho la watanganyika wote , shule zile zikilipiwa na serikali
waraabu wamejenga shule walipokuwepo huko Zanzaibar ambapo walikua na dola na walijenga shule nyingi na bora zaidi na za mwanzo kabla ya Tanganyika kuanza
wakristo wa bara wakipelekwa znz kusomawakai huo , shule za ben bella haille salasie lumumba beit rasi forodhani nk walijenga warabu na zilikua bora afrika ya mashariki , uliza kanisani utaambiwa , na ndio maana makanisawana shikilia hu muungano kuua haya ya znz
huku tanganyika mtawalaalikua mkristo na akiwapendelea wakristo akawapa shule waziendeshe kwa lengo lakupata vibaraka , kupata watu watakao ona wazungu ni waungu watu walija wataondoka lakini lazima afrika waitawale kwa remote control sasa ndio hivo vishule mnavo jisifu lengo lake kutoa vikaragosi
angekuwepo nyerere ningekwambia muulize alikuana na nani kule makerere kutoka znz na mombasa ilokuwa chini ya mwarabu
alikutana na watu walio soma walokuwa free mind kina mazrui hao ndio walomfundisha siasa na kujitambuana kuacha kuabudu wazungu
 
uongo uongo wamishinari siji wapuuzi gani hawaja jenga hata shule moja , shule zilijengwa na serikali na kuwakabizi wao , ni jasho la watanganyika wote , shule zile zikilipiwa na serikali
waraabu wamejenga shule walipokuwepo huko Zanzaibar ambapo walikua na dola na walijenga shule nyingi na bora zaidi na za mwanzo kabla ya Tanganyika kuanza
wakristo wa bara wakipelekwa znz kusomawakai huo , shule za ben bella haille salasie lumumba beit rasi forodhani nk walijenga warabu na zilikua bora afrika ya mashariki , uliza kanisani utaambiwa , na ndio maana makanisawana shikilia hu muungano kuua haya ya znz
huku tanganyika mtawalaalikua mkristo na akiwapendelea wakristo akawapa shule waziendeshe kwa lengo lakupata vibaraka , kupata watu watakao ona wazungu ni waungu watu walija wataondoka lakini lazima afrika waitawale kwa remote control sasa ndio hivo vishule mnavo jisifu lengo lake kutoa vikaragosi
angekuwepo nyerere ningekwambia muulize alikuana na nani kule makerere kutoka znz na mombasa ilokuwa chini ya mwarabu
alikutana na watu walio soma walokuwa free mind kina mazrui hao ndio walomfundisha siasa na kujitambuana kuacha kuabudu wazungu

Em nipe ufafanuzi waarabu walijenga shule kufundisha syllabus za wazungu, physics, chemistry, za wazungu au?
Na je waarabu walijenga shule kwa dhamira gani?

..Wafundishe theory of evolution?

Napata Shida kuamini kuwa waarabu waliwajengea shule wazenji. Wakati Zanzibar alikuwa koloni rasmi la mwingereza.na tanganyila ikiwa na u
Mjerumani.

Na waingereza ndio walihangaika na Zanzibar koloni lao kuliko Tanganyika (Trustsheep Territory).
Kwahiyo Tanganyika ilijengwa na ujerumani zaidi kuliko na uingereza. Nenda Tanga ukafahamu historia zaidi.. Mwingereza hakua na mpango na tanganyika.
Ye alihangaika na Kenya, Zanzibar zaidi.

Na waarabu walikuwa wakifanya biashara ya utumwa mpaka hao waingereza walipowapiga ban. Sasa yule sultan wa zenji alikuwa akiendeshwa kwa remote control (indirect rule) na mwingereza. Kwahiyo
Usimpe ujiko kabisa Mwarabu.
Mwarabu alikuwa wanatawaliwa na yeye.
Mswahili hukuliona hilo.
Mgao kamili unaohusu scramble of Africa. Ulifanywa na wazungu wa ulaya. Na ndio mapioneer wa hii elimu yote. Na ndiyo waliokuwa na ramani ya dunia.

Na kwakuwa mzungu alikuwa Christian basi ndiye alikuwa anajua nini kile anamfundisha mbantu.
Na ni rahisi ku-mainstream elimu yake kwenye christian societies Kwani hata nyenzo alikuwa nazo. Na hapa utaita ni upendeleo.

Mwarabu alikuwa anajua kujenga masjid na madrasat tu.

Na ndio maana zilijengwa nyingi sana huku bara kuliko kitu kingine. Na huu pia uuite ni upendeleo.
 
Huna ujualo kujusu znz ya zamani.
Walotoka tanganyika kwena huko kufata elimu.
Znz ilikua ni chem chem ya elimu
Babu zako wakiimba zumari ikipigwa znz basi wasukuma wanalisikia wanacheza kukata viuno.
Znz ya waraabu ilikua ni empire ikishindana na south afrika na masri tu afrika nzima
Walikua na balozi marekani na nchi za europe karne ya 18 na alochagua mabalozi mi mwarabu
Wakati huo tanganyika ukiondoa mzizima na kilwa na tanga watanganyika wakigimbea kaniki za mzungu
 
Huna ujualo kujusu znz ya zamani.
Walotoka tanganyika kwena huko kufata elimu.
Znz ilikua ni chem chem ya elimu
Babu zako wakiimba zumari ikipigwa znz basi wasukuma wanalisikia wanacheza kukata viuno.
Znz ya waraabu ilikua ni empire ikishindana na south afrika na masri tu afrika nzima
Walikua na balozi marekani na nchi za europe karne ya 18 na alochagua mabalozi mi mwarabu
Wakati huo tanganyika ukiondoa mzizima na kilwa na tanga watanganyika wakigimbea kaniki za mzungu

Mh crabat unajua kuwa hao wasukuma unaowataja hawakuwa na elimu kama wachagga?

Sasa how many a schools did Mwarabu established?
Sasa assumption yako haiendani na uhalisia.labda udadavue kidogo mkuu...
 
Last edited by a moderator:
Mh crabat unajua kuwa hao wasukuma unaowataja hawakuwa na elimu kama wachagga?

Sasa how many a schools did Mwarabu established?
Sasa assumption yako haiendani na uhalisia.labda udadavue kidogo mkuu...

Shule walo anzisha warabu kule znz ambako ndio walipo kuwa ni wenye madaraka ni nyingi kwa propotionate ya idadi ya watu ukilinganisha na tanganyika ya wazungu
Unguja kulikuwa na shule zifutazo
Benbella
Haile salasie
Lumumba
Beut ras
Kajificheni
Forodhani
Hamamni
Darajani
Popat lal
Ngambo
Vikokotoni
Mkunazini
Na 1963 walijenga chuo cha ufundi cha mwanzo kabisa znz tech

Kule pemba waarabu walijenga
Wete boys
Wete girls
Jadida
Utaani
Michakaaeni
Madungu
Na 1963 walijenga chuo cha fidel castro
Shule zote zikiendeshwa na serikali ya mwarabu

Hivyo nakutajia ni maeneo ya mjini tu peke yake na baada ya mapinduzi walichofanya hizo shule wakazibadilisha majina na kuziita majina hayo na kikomonisti utafikiri walijenga wao.
Hizo ni shule bora zilizokuwa na kila sifa ya shule za kisasa na Wazanzibar wakishindana kupata elimu. Sasa hizo shule ni nyingi mno kwa watu laki 2 walokuwepo visiwani kabla ya mapinduzi ya tanganyika kule. Shule hizo ni nyingi ukilinganisha na shule za tanganyika zilizokuwepo wakati huo uki chukulia manani ni nchi yenye watu million10
Kule znz wakati huo kulikua na shule mbili za mission moja tumekujaniko unhuja na kizimbani ikiwa pemba na hizo zote walokuwa wakisoma ni waislam hawakuzimbia kwa sababu hawakuthubutu kuleta ujinga wa kidini.

Ni mwarabu akiwa mkuu wa nchi ndie alowapa makanisa kujenga shule hizo na pia kujenga makanisa mawili ya unguja.

Waislam wa tanganyika walikua katika hali tofauti, serikali ilifungua shule na kuzikabibidhi makanisa kuziendesha na pia serikali kuzi hudumia. Shule hizi zilikua na adha hazikuwa huru kwa vijana wankiislam kwani walilazimishwa kufanya rituals za kikristo, hapa ndio wazee wengi wakakwama ni mtihani mkubwa na hawakupata ruhsa ya kujenga shule zao ilikuwa kwa mbinde sana.

Hivyo nakuambia tena huna ujialo kuhusu znz na warabu na waislam wa nchii hii , ujualo ni chuki za sunday school basi , na mwisho warabu wamekuachia jina la mji uupendao Dar es salaam ,
 
Last edited by a moderator:
Shule walo anzisha warabu kule znz ambako ndio walipo kuwa ni wenye madaraka ni nyingi kwa propotionate ya idadi ya watu ukilinganisha na tanganyika ya wazungu
Unguja kulikuwa na shule zifutazo
Benbella
Haile salasie
Lumumba
Beut ras
Kajificheni
Forodhani
Hamamni
Darajani
Popat lal
Ngambo
Vikokotoni
Mkunazini
Na 1963 walijenga chuo cha ufundi cha mwanzo kabisa znz tech

Kule pemba waarabu walijenga
Wete boys
Wete girls
Jadida
Utaani
Michakaaeni
Madungu
Na 1963 walijenga chuo cha fidel castro
Shule zote zikiendeshwa na serikali ya mwarabu

Hivyo nakutajia ni maeneo ya mjini tu peke yake na baada ya mapinduzi walichofanya hizo shule wakazibadilisha majina na kuziita majina hayo na kikomonisti utafikiri walijenga wao.
Hizo ni shule bora zilizokuwa na kila sifa ya shule za kisasa na Wazanzibar wakishindana kupata elimu. Sasa hizo shule ni nyingi mno kwa watu laki 2 walokuwepo visiwani kabla ya mapinduzi ya tanganyika kule. Shule hizo ni nyingi ukilinganisha na shule za tanganyika zilizokuwepo wakati huo uki chukulia manani ni nchi yenye watu million10
Kule znz wakati huo kulikua na shule mbili za mission moja tumekujaniko unhuja na kizimbani ikiwa pemba na hizo zote walokuwa wakisoma ni waislam hawakuzimbia kwa sababu hawakuthubutu kuleta ujinga wa kidini.

Ni mwarabu akiwa mkuu wa nchi ndie alowapa makanisa kujenga shule hizo na pia kujenga makanisa mawili ya unguja.

Waislam wa tanganyika walikua katika hali tofauti, serikali ilifungua shule na kuzikabibidhi makanisa kuziendesha na pia serikali kuzi hudumia. Shule hizi zilikua na adha hazikuwa huru kwa vijana wankiislam kwani walilazimishwa kufanya rituals za kikristo, hapa ndio wazee wengi wakakwama ni mtihani mkubwa na hawakupata ruhsa ya kujenga shule zao ilikuwa kwa mbinde sana.

Hivyo nakuambia tena huna ujialo kuhusu znz na warabu na waislam wa nchii hii , ujualo ni chuki za sunday school basi , na mwisho warabu wamekuachia jina la mji uupendao Dar es salaam ,

Kilimanjaro kulikuwa na shule nyingi sana kuliko hata hapo Dar. Na sehemu yeyote Tanzania. Hata watoto wa nyerere walisomea huku.
Na hizi shule nyingi za wamissionary zilikuja kutaifishwa na serikali.

Waarabu waligawa elimu katika kategory mbili;
Ilimu akhera na
ilimu dunia:which means zote ni elimu zina equal weight.. Na kwakuwa zote ni ilimu. MTU anaweza ku-opt, ni aina gani ya ilimu afuate . lakini wanaZUoni wa dini wanasema ilimu akhera INA thawabu sana. Na ukijua japo herufi moja ya kwenye koran unapata thawabu nyingi.
Ni nani asiyetaka thawaBu?

Hao wazenji waliamini elimu ahera ni elimu bora kuliko hizi ya darasani.
Sio wazenji hata waislamu wa huku waliifuata hiyo kasumba. Na hii ni ideology aliopandikiza Mwarabu.
Na ndio ideology na kauli mbiu ya kundi la bokoharam kule Nigeria. Kwahiyo kwa nyie kujiona hamkusoma wakati mnayo elimu akhera ni swala la kisaikolojia zaidi.mnahitaji counseling, ili mjisikie vizuri na elimu yenu yenye thawabu. Na hapa mnamwuudhi Allah kwa kutotambua thamani ya ilimu alokuleteeni. Mnajiona mnamapungufu ye kielimu. Hamna shukrani kwa Allah. Allah anaghadhibika...

Hii kasumba haipo kwenye ukristo. Tuchukulie mfano katoliki. Wanasoma elimu zote. Ndio maana papa aliyejiuzuru ni msomi ngazi ya u-professor, huyu wa sasa ni msomi M-jesuits.
Wanasoma.maarifa ya dunia. Hata bibilia inaagiza watu kuelimika. Hawalewi tu pombe ya dini wakaacha elimu nyingine pembeni la!

Soma physics, biology, chemistry. Sijasikia majina ya kina alhaji bin ama shekh,sayyid, ustaadhi gani aligundua hiki ama kile duniani. Utakutana na majina kama Faradays, Isaac newton, Albert Einstein, Nukes theory, lermbert, Darwin you name it....
Which means elimu imeundwa na mzungu.

Na kupitia elimu yao, Wazungu walikuwa wameendelea saana na kuibadili dunia ukilinganisha na waarabu wasiokuwa na elimu. Sasa wazungu ni Christian ungetegemea Leo waarabu walielie kuwa walibaguliwa elimu na wazungu.
Kati ya mzungu na Mwarabu nani anaweza kuwezesha elimu? The answer is so obvious.na hapa utasema hoja ya Sunday school.

Tazama kisoka pia. Wazungu ndio wanapiga mpira. Waarabu wanatolewa nishai kila wanapocheza na wazungu. Qatar wamejiingiza kwenye soka kwa kuhonga lakini kwao hakuna mapenzi wala mwamko wa mpira Wa miguu.
Halafu wanataka wazungu wakienda kucheza kule worldcup wajisitiri kama wao!? Inashangaza anyway...

Kwahiyo wanaowakataza msisome elimu ya darasaninni huyo huyo Mwarabu wenu - sultani.
Ame inculcate mindset ya watwana kupenda dini na kuacha kufikiria elimu ya darasani.

Ndio maana wazenji hata wakija huku bara, wengi wao hawana uwezo mkubwa darasani ukilinganisha na watu wa huku.
Wazenji ni wazuri kwenye ku-twist hoja wanapozungumza, but they are very simple minded people.

WaZenji Wakija huku bara huwa wanapendelea kozi laini laini tu.

Hata maisha ya huko kwao ni rahisi akiwa na ka-diploma tu ama certificate anapeta sana. Manake wengi wameishia std seven au none kabisa.
Na serikali ya bara imekuwa ikiwabeba sana sana kuliko kuwafikiria watu wa huku.(I don't know why). Watu.laki mbili lakini walishindwa kusoma, pamoja na wao kunufaika na jasho la watanganyika ambao ndio wengi na wanashule chache kuliko population yao.
Tanganyika imewabeba wazenji through out the history. Hata sasa.

Hili ni tatizo la kihistoria la kubalansi power kati ya the Giant (bara) na the tiniest island(Zanzibar).
Na ndio maana kiuchumi Wazanzibar wamepiga hatua sana. Na hii ni kwakuwa wamebebwa. Wakabebeka.

Mzenji akiwa na degree humzidi! Akienda kwao anapiga hatua kubwa kimaendeleo. Japo huwa hawasomi zile kozi pasua Kichwa.
Hata bidhaa kwao zinauzwa bei rahisi kuliko bara.
Kimsingi wazenji wanabebwa. Weka hiyo akilini.
Napapenda Arusha na Kilimanjaro zaidi kuliko Dar es salaam.
 
Kilimanjaro kulikuwa na shule nyingi sana kuliko hata hapo Dar. Na sehemu yeyote Tanzania.
Mzenji akiwa na degree humzidi! Akienda kwao anapiga hatua kubwa kimaendeleo. Japo huwa hawasomi zile kozi pasua Kichwa.
Hata bidhaa kwao zinauzwa bei rahisi kuliko bara.
Kimsingi wazenji wanabebwa. Weka hiyo akilini.
Napapenda Arusha na Kilimanjaro zaidi kuliko Dar es salaam.
Hoja yako haihusiani na mada , unaruka alshabab sijui nini huko moshi shule gani hizo ..? Hujui kitu kuhusu warabu na znz zaidi ya uongo wa sunday school na kipa imara
 
Hoja yako haihusiani na mada , unaruka alshabab sijui nini huko moshi shule gani hizo ..? Hujui kitu kuhusu warabu na znz zaidi ya uongo wa sunday school na kipa imara

Tena watu wa mkoa wa kilimanjaro ndio wangetakiwa kulalamika kuhusu elimu sio Wazenji. Kwani Kilimanjaro waalikuwa wamepiga hatua kubwa sana. Kwa wastani Nyerere alitaifisha shule nyingi sana za Wakristo. Nasisitiza hapa nyingi sana. Kiasi kwamba ninahisi alitaka kudumaza elimu kwa wakristo ili kuwabeba waislamu. Si hizo tu: alitaifisha hadi hospitali.

Maendeleo yao kilimanjaro yakatumika kuwabeba watu wengine wakiwemo wazanzibar .

kilimanjaro walikuwa wamepiga hatua kwa kila jambo. Kuanzia barabara za lami, Walikuwa wana uwanja wa ndege wa "kimataifa". Peke yao nchini nzima. Leo Hii utaona uwanja wa Julias nyerere ndio uwanja wenye ndege nyingi.
Na Kilimanjaro maendeleo yakadorora doro.
Kilimanjaro Walikuwa na chama imara cha ushirika(KNCU) kikaja
Kuuwawa na nyerere. Mpaka Leo za kuu la biashara la kahawa halina tija tena. Serikali Ilipeleka bakuli kuwakopakopa na kuwafilisi.

Wenyeji wa kilmanjaro Walisoma wakawa wanafelishwa ili mikoa mingine ikwemo wazanzibari wafaulishwe, kwa kubebwa. Ninao Ndugu walikimbilia Kenya kusoma na wako waliohamia mikoani kama singida ili tu waweze kumaliza shule. Manake kwa Sera kandamizi za nyerere wasingesoma kabisa. Najiuliza Sijui alitaka tuchunge ng'ombe? Ni ukweli uliodhahiri Nyerere ali-tempered na elimu ya wakristo.

Muda wote huo wazenji wanabembelezwa waende shule hawataki. Wanacheza drafti na kuvua samaki.
Kama ni hujuma basi Kilimanjaro ndio Imehujumiwa. Na ingetakiwa kuwa jiji shindani na Nairobi tangu miaka hiyo lakini mpaka Leo ni manispaa tu ya kawaida kama ilivyo singida. ka Dar kameibuliwa huko kiujanja ujanja tu.

Ili kufanya maisha ya wazenji kuwa laini zaidi na zaidi. Nyerere akaruhusu lugha ya wanzanzibar ya kiswahili kuwa lugha rasmi ya watanganyika.na ndiyo lugha Inayotumika kufundishia mashuleni mpaka Leo. Tuna makabila zaidi ya 125, lakini akachagua Lugha ya wazanzibari. Yaani hakuona BAra kama kuna lugha ya kutumia.
Utaona ni jinsi gani tulivyoingizwa kwenye ukoloni kiaina.

Utaona hata watanganyika bado hawaiwezi kuizungumza vizuri kiswahili. Na linapokuja swala la ajira mfano BBC,Rtd, wazenji ndio wanapewa posti kakuwa wanaimudu vizuri lugha yao. Wabara wana ng'aa tu macho.Siku zote MTU anayekutawala anaifanya lugha yake kuwa bora.

Leo Hii wengi tunasota hatujui kuzungumza kiingereza vizuri ama tuna kiingereza cha kuungaunga ni kutokana na mauza uza ya muungano feki, wenye lengo la kuwapetipeti wazenji.

Salamu Ya Shikamoo ambayo ilitumiwa kati ya mtumwa, mtwana kwa sultani na Mwinyi. Ndio inatumika ku-inculcate spirit ya utumwa huku bara. Hasa mashuleni kwetu. Kwa kisingizio kuwa ni Adabu ya mkubwa na mdogo. Ilikuwa usipomsalimia Mkubwa kwa kumwambia shikamoo unapewa adhabu.

"Shikamoo INA maana ya Niko chini ya miguu yako Mimi mtumwa niagize unachopenda furaha yako ndio furaha yangu bwana wangu" Mwinyi ama sultani anajibu "Marhaba".

Nalazimika kusema Tanganyika ni koloni la jipya mzanzibari na waarabu wa zenji.
Maana kila jambo lililofanyika, lilifanyika kwa maslahi ya
pro-zanzibar. Tumelishwa utamaduni wa Kizanzibar miaka yote.

Tunajiita watanzania lakini Maisha ya wazenji ni rahisi sana wakiwa huku kwetu ama wakiwa kwao. Hali ni tofauti kwetu sisi mambo yamekuwa magumu kupita kiasi. I think Nyerere hakuondoa utumwa Bali aliu-transform tu. Wazenji ndio wanaopalilia udini huku bara. Lengo likiwa devide and rule. Na siku huu muungano ukifa ukweli utajulikana tu.

Nimeona hata mashekh wa huku bara wanalalamika kuwa ukiwa Mbara na ukaenda Pemba hupewi hata uimamu lakini wapemba wakija huku kwetu bara wanapewa vyeo vyote misikitini na uongozi. Na sisi tupo tu wala hatulalamiki.

This time serikali ya chama tawala imewaandalia mazingira bora zaidi Wakoloni wa kizenji.
Just imagine serikali yetu iliuwawa siku nyingi kisailensa lakini serikali ya wazenji IPO na imeongezewa makucha. Wabara wakienda Zanzibar wanabeba passport mkononi. Kisha tunashangilia sisi tu wamoja. Wakihamua ku-piga ban wakristo wasifungue hoteli siku za mfungo wa Ramadhani utaona hata viongozi wa huku wanaunga mkono. nakumbuka Pinda aliwatetea wazenji bungeni kwa kupiga ban wakristo walioko Zanzibar wasiuze vyakula wakati wa mfungo na wakiuza vibanda vyao vitachomwa moto..

Sasa na wewe umekaa hapa kwenye forum. Unalalamika kwa kujenga chuki dhidi ya wabara na kumwaga tindikali; Tunajua ni ile janja yenu ya kutaka kutuweka pingu na minyororo kabisa shingoni Ili mtubebeshe mzigo mzito kuliko tunaoubeba hivi sasa.

Na sasa hivi USA inawawezesha kuwawekea Umeme. Ili muendelee kuzalisha, mtajirike na kututawala zaidi.

Raia Bara tukisema tunaonekana tunahujumu utaifa. Wazenji wakisema wanaonekana wanayo hoja. Viongozi wa bara hawana cha kusema kwa MTU kama Bakhresa, akiamua anawafanya vibaraka wake. Manake pesa anayo tena kavunia huku pesa yote. Akiamua kuwaahidi hata ofa ya range rover moja moja ili waendelee kuulinda muungano hawawezi kuchomoa tena. Watatuzima wanaharakati kiulaini kabisa. Kwani viongozi wetu hata ela ya mboga ni shida na wanategemea kuganga njaa kwa waarabu na kupewa suti.

Utumwa at work.
 
Tena watu wa mkoa wa kilimanjaro ndio wangetakiwa kulalamika kuhusu elimu sio Wazenji. Kwani Kilimanjaro waalikuwa wamepiga hatua kubwa sana. Kwa wastani Nyerere alitaifisha shule nyingi sana za Wakristo. Nasisitiza hapa nyingi sana. Kiasi kwamba ninahisi alitaka kudumaza elimu kwa wakristo ili kuwabeba waislamu. Si hizo tu: alitaifisha hadi hospitali.

Maendeleo yao kilimanjaro yakatumika kuwabeba watu wengine wakiwemo wazanzibar .

kilimanjaro walikuwa wamepiga hatua kwa kila jambo. Kuanzia barabara za lami, Walikuwa wana uwanja wa ndege wa "kimataifa". Peke yao nchini nzima. Leo Hii utaona uwanja wa Julias nyerere ndio uwanja wenye ndege nyingi.
Na Kilimanjaro maendeleo yakadorora doro.
Kilimanjaro Walikuwa na chama imara cha ushirika(KNCU) kikaja
Kuuwawa na nyerere. Mpaka Leo za kuu la biashara la kahawa halina tija tena. Serikali Ilipeleka bakuli kuwakopakopa na kuwafilisi.

Wenyeji wa kilmanjaro Walisoma wakawa wanafelishwa ili mikoa mingine ikwemo wazanzibari wafaulishwe, kwa kubebwa. Ninao Ndugu walikimbilia Kenya kusoma na wako waliohamia mikoani kama singida ili tu waweze kumaliza shule. Manake kwa Sera kandamizi za nyerere wasingesoma kabisa. Najiuliza Sijui alitaka tuchunge ng'ombe? Ni ukweli uliodhahiri Nyerere ali-tempered na elimu ya wakristo.

Muda wote huo wazenji wanabembelezwa waende shule hawataki. Wanacheza drafti na kuvua samaki.
Kama ni hujuma basi Kilimanjaro ndio Imehujumiwa. Na ingetakiwa kuwa jiji shindani na Nairobi tangu miaka hiyo lakini mpaka Leo ni manispaa tu ya kawaida kama ilivyo singida. ka Dar kameibuliwa huko kiujanja ujanja tu.

Ili kufanya maisha ya wazenji kuwa laini zaidi na zaidi. Nyerere akaruhusu lugha ya wanzanzibar ya kiswahili kuwa lugha rasmi ya watanganyika.na ndiyo lugha Inayotumika kufundishia mashuleni mpaka Leo. Tuna makabila zaidi ya 125, lakini akachagua Lugha ya wazanzibari. Yaani hakuona BAra kama kuna lugha ya kutumia.
Utaona ni jinsi gani tulivyoingizwa kwenye ukoloni kiaina.

Utaona hata watanganyika bado hawaiwezi kuizungumza vizuri kiswahili. Na linapokuja swala la ajira mfano BBC,Rtd, wazenji ndio wanapewa posti kakuwa wanaimudu vizuri lugha yao. Wabara wana ng'aa tu macho.Siku zote MTU anayekutawala anaifanya lugha yake kuwa bora.

Leo Hii wengi tunasota hatujui kuzungumza kiingereza vizuri ama tuna kiingereza cha kuungaunga ni kutokana na mauza uza ya muungano feki, wenye lengo la kuwapetipeti wazenji.

Salamu Ya Shikamoo ambayo ilitumiwa kati ya mtumwa, mtwana kwa sultani na Mwinyi. Ndio inatumika ku-inculcate spirit ya utumwa huku bara. Hasa mashuleni kwetu. Kwa kisingizio kuwa ni Adabu ya mkubwa na mdogo. Ilikuwa usipomsalimia Mkubwa kwa kumwambia shikamoo unapewa adhabu.

"Shikamoo INA maana ya Niko chini ya miguu yako Mimi mtumwa niagize unachopenda furaha yako ndio furaha yangu bwana wangu" Mwinyi ama sultani anajibu "Marhaba".

Nalazimika kusema Tanganyika ni koloni la jipya mzanzibari na waarabu wa zenji.
Maana kila jambo lililofanyika, lilifanyika kwa maslahi ya
pro-zanzibar. Tumelishwa utamaduni wa Kizanzibar miaka yote.

Tunajiita watanzania lakini Maisha ya wazenji ni rahisi sana wakiwa huku kwetu ama wakiwa kwao. Hali ni tofauti kwetu sisi mambo yamekuwa magumu kupita kiasi. I think Nyerere hakuondoa utumwa Bali aliu-transform tu. Wazenji ndio wanaopalilia udini huku bara. Lengo likiwa devide and rule. Na siku huu muungano ukifa ukweli utajulikana tu.

Nimeona hata mashekh wa huku bara wanalalamika kuwa ukiwa Mbara na ukaenda Pemba hupewi hata uimamu lakini wapemba wakija huku kwetu bara wanapewa vyeo vyote misikitini na uongozi. Na sisi tupo tu wala hatulalamiki.

This time serikali ya chama tawala imewaandalia mazingira bora zaidi Wakoloni wa kizenji.
Just imagine serikali yetu iliuwawa siku nyingi kisailensa lakini serikali ya wazenji IPO na imeongezewa makucha. Wabara wakienda Zanzibar wanabeba passport mkononi. Kisha tunashangilia sisi tu wamoja. Wakihamua ku-piga ban wakristo wasifungue hoteli siku za mfungo wa Ramadhani utaona hata viongozi wa huku wanaunga mkono. nakumbuka Pinda aliwatetea wazenji bungeni kwa kupiga ban wakristo walioko Zanzibar wasiuze vyakula wakati wa mfungo na wakiuza vibanda vyao vitachomwa moto..

Sasa na wewe umekaa hapa kwenye forum. Unalalamika kwa kujenga chuki dhidi ya wabara na kumwaga tindikali; Tunajua ni ile janja yenu ya kutaka kutuweka pingu na minyororo kabisa shingoni Ili mtubebeshe mzigo mzito kuliko tunaoubeba hivi sasa.

Na sasa hivi USA inawawezesha kuwawekea Umeme. Ili muendelee kuzalisha, mtajirike na kututawala zaidi.

Raia Bara tukisema tunaonekana tunahujumu utaifa. Wazenji wakisema wanaonekana wanayo hoja. Viongozi wa bara hawana cha kusema kwa MTU kama Bakhresa, akiamua anawafanya vibaraka wake. Manake pesa anayo tena kavunia huku pesa yote. Akiamua kuwaahidi hata ofa ya range rover moja moja ili waendelee kuulinda muungano hawawezi kuchomoa tena. Watatuzima wanaharakati kiulaini kabisa. Kwani viongozi wetu hata ela ya mboga ni shida na wanategemea kuganga njaa kwa waarabu na kupewa suti.

Utumwa at work.


Ahsante kwa paukwa pakawa
 
Hoja yako haihusiani na mada , unaruka alshabab sijui nini huko moshi shule gani hizo ..? Hujui kitu kuhusu warabu na znz zaidi ya uongo wa sunday school na kipa imara
Ngoja nikusaidie kidogo:

Hivi unafahamu kuwa Uislam ulianzishwa na Muhamamd na haukuwepo kabla yake?

Kama unabisha nijibu yafuatayo:

1. Nionyeshe neno au jina "ISLAM" katika Taurat aliyo iteremsha Allah kwa Mousa kabla ya Quran.
2. Nionyeshe neno au jina "ISLAM" katika Zaburi aliyo iteremsha Allah kwa Daoud kabla ya Quran.
3. Nionyeshe neno au jina "ISLAM" katika Injil aliyo iteremsha Allah kwa Yesu kabla ya Qurann.

Kumbuka: Sina Muda na aya za Quran, maana Quran sio mkusanyiko wa vitabu "BIBLIA. Mimi nijibu kwa kutumia Taurat, Zaburi na Injili alizo ziteremsha Allah kabla ya Quran kuteremshwa kwa Muhammad.

Pole sana mfuasi wa dini bandia.
 
Ahsante kwa paukwa pakawa
Umeona eeh?
Dar ni kamji kajuzi juzi tu: kule Pwani mji uliokuwa mkubwa ni Bagamoyo. Lakini utaona Jinsi bagamoyo Ulivyopoteza network miaka yote hiyo. Naskia kiongozi huyu mpya anataka kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa. kule kwao ilikuurudisha kwenye chati kama zamani.

Serikali hii haikuwa inafanya mambo kwa maslahi ya watanganyika na ndio maana mpaka leo haijaweza kuhamia Dodoma. pamoja na syllabas za shule za msingi kudanganya miaka yote hiyo kusema Dodoma ni mji mkuu. Lengo ni kutokutaka kukata mrija wa kiutawala wa wakoloni wa visiwani. Kama Dodoma ingekuwa mji: basi BAra kungepiga hatua kubwa sana kimaendeleo lakini.. kilakitu kimehamia Dares-lam na visiwani. Na kila mchumi anajua wazi kuwa ukiwa na mji mkuu mikoa ya karibu inanufaika zaidi.

Wakazi wa kaskazini walikuwa wakifanya biashara zao Nairobi sasa hivi wanatengenezewa mazingira wategemee Dar es salam zaidi.

Kila mtu anajua fika Wazenji hawapendani: na wangetaka na sisi huku bara tuchukiane ili waendeleze kututawala. manake ndio wapishi wakuu wa hoja za ubaguzi huku Bara. Na hii ndio inayofanya watu wengi huku kuuchukia huu muungano. Na tunajua wazi wazenji wanataka huu muungano kwakuwa wanatunyonya: kinachotokea kati yao ni mgongano wa kimaslahi. Ndio maana wanapoongezewa offer zaidi na nafasi katka serikali wanatulia tuli.

Kwasasa inaonekana wazungu wakishirikiana na wakoloni wa visiwani wa kiarabu na wazenji ndio wanaitiisha bara wanavyotaka. ukichukulia sasa hivi pesa iko kwao. Nyerere walimwingiza mkenge, Akaturudisha utumwani.
Haiitaji mtu mpaka kupata PHD ili kufahamu kuwa Zanzibar ni nchi kamili yenye mamlaka yake na mifumo yake.:mvutaji:
naff said
 
Bila ukristo hata wewe mtoa maada usingekuwa unaishi. Mngechapana nyinyi mpaka mkaisha. Mungu awasaidie hasa wewe mleta maada usiyeelewa hata unaachoongea.
 
Bila ukristo hata wewe mtoa maada usingekuwa unaishi. Mngechapana nyinyi mpaka mkaisha. Mungu awasaidie hasa wewe mleta maada usiyeelewa hata unaachoongea.

Haswaa, huyo jamaa hajui hata maana ya Uislam anao utetea.
 
Back
Top Bottom