Utafiti juu ya sera mfumo kristo

Utafiti juu ya sera mfumo kristo

ukinijibu maswali yafuatayo, ndipo utajua tatizo ni nini.Hivi kuna grade tofauti za ufaulu kati ya wanafunzi wa dini A na dini B? JE tunapoomba kazi, kuna maswali tofauti ya interview yanayoulizwa kitaaluma kwa kuzingatia dini ya mtu?Je kuna katiba ama sheria yoyote,ama sera yoyote ya serikali imeainisha ukuu wa dini yoyote inchini?je ni sahihi serikali ivipuuze vigezo vya kitaaluma katika kupata ajira na ianzishe uajili kwa kuangalia dini ya mtu?je nisahihi tujiulize top two za nyadhifa nchini zimeshikwa na watu wa thehebu gani?je ni sahihi walioko katika top two hizo,wangepingwa na vyama vyao kwakua sio wadhehebu B?vyuoni kuna SAP ama DISCO za kiislam na za kikristo?Ama ninyi bodi ya mikopo mnazingatia dini katika kuendesha shughuri zenu ili dini fulani ikome ubishi? jamani,jamani,watanzania kwanini twajitia upofu wa misingi ya haki iliyo wazi nchini,na kuanza kukomaa na hoja za uchochezi? tukijibu hayo maaswali yote niliyoainisha nidhahiri kuwa si mkristo ama muislamu au mpagani anahaki zaidi ya mwenzake katika fursa za nchi na hakuna serikali kichaa imeyowahi kuwa madarakani na kuruhusu upuuzi kama huo.Watanzania tusiruhusu watafuta maslahi binafsi kupitia migongo ya utetezi wa dini, watuvishe miwani ya mbao tukajikuta tunakokotwa nao, nakusahau kuulinda mustakabali wa inchi, Serikali na udugu wetu imara.MUNGU IBARIKI TZ
 
kwa kweli samahani nimeshindwa kuendelea kusoma ulichokiandika kwanza mpaka pale nilipoishia nimegundua udhaifu mkubwa wa utafiti wako kwanza karudie kusoma historia ya tanzania pia hivi nani anajukumu la kumupeleka mtoto shule je ni serikali au ni mtu mwenyewe kwanza namupongeza nyerere kwa kitendo alichokifanya cha kutaifisha shule zote za kidini na kuwapa waislamu nafasi kusoma mbona hayo hujayazungumza kama wewe ni mkweli coz uislamu ni ukweli kuwa mkweli acha uongo na uchochezi

mifumo ndio tatizo mfano amerika watu weusi 20% ndio wanaongoza kwakukosa elimu na 80% ya wafungwa magerezani ni watu weus
i.Rwanda watusi ni 20% lakini ndio waliopewa elimu na madaraka.Kenya wakikuyu..SOUTH Afrika wazungu nk
 
Same old faeces...
On a different day...
 
Una tatizo hapa, nimesoma kwa makini hasa kwenye uwiani wa elimu na jedwali lenu.
Shaka ni hii, kama mtu hajafaulu aende tu secondary?? Matokeo ya darsa la saba ndio yanawapeleka wanafunzi secondary na yanazingatia ufaulu. Wakiwa waislamu hawafaulu watendeweje?? Kwa hio wasahihishaji wanajua number za watahiniwa, majina yao na dini zao sio. Mi naona kuna kujisingizia tu kwa failure zenu wenyewe. Mi nakumbuka jinsi pale singida waislamu walivyoluwa so into madrasa huku wakristo wakisoma elimu dunia na dini pia. Hata katika darasa letu sikuona hata muislam mmoja pale mazengo aliekuwa hata top twenty, watafikaje chuo kikuu??? Au pia walimu walikuwa wanasahihisha za waislamu kwa hila?? Hii sio rahisi.
 
kwa kweli samahani nimeshindwa kuendelea kusoma ulichokiandika kwanza mpaka pale nilipoishia nimegundua udhaifu mkubwa wa utafiti wako kwanza karudie kusoma historia ya tanzania pia hivi nani anajukumu la kumupeleka mtoto shule je ni serikali au ni mtu mwenyewe kwanza namupongeza nyerere kwa kitendo alichokifanya cha kutaifisha shule zote za kidini na kuwapa waislamu nafasi kusoma mbona hayo hujayazungumza kama wewe ni mkweli coz uislamu ni ukweli kuwa mkweli acha uongo na uchochezi

Wewe ndio utakuwa umechanganya mambo. Hebu soma uone unachohoji kweli hajakizungumza? Mbona utaifishaji wa shule za dini kalizungumza vizuri hapo juu na mpaka nyerere alipoamua kuzirudisha shule zote zilizokuwa chini ya kanisa lakini za waislamu hajarudisha. Kwanini arudishe ya kikristo na waislamu hajarudisha?
 
kaka ulichokiandika hapo ni ukweli mtupu hawa jamaa hawabebeki hata wapewe nn angalia somalia asilimia 99 ya wakazi wake ni waislamu mbona hata leo amani hawna

Unaweza elezea kilichopelekea amani kupotea somalia, iraq, Syria, pakistani, Afghanistani? Au unataka kuleta propaganda zenu za kijinga?
 
Una tatizo hapa, nimesoma kwa makini hasa kwenye uwiani wa elimu na jedwali lenu.
Shaka ni hii, kama mtu hajafaulu aende tu secondary?? Matokeo ya darsa la saba ndio yanawapeleka wanafunzi secondary na yanazingatia ufaulu. Wakiwa waislamu hawafaulu watendeweje?? Kwa hio wasahihishaji wanajua number za watahiniwa, majina yao na dini zao sio. Mi naona kuna kujisingizia tu kwa failure zenu wenyewe. Mi nakumbuka jinsi pale singida waislamu walivyoluwa so into madrasa huku wakristo wakisoma elimu dunia na dini pia. Hata katika darasa letu sikuona hata muislam mmoja pale mazengo aliekuwa hata top twenty, watafikaje chuo kikuu??? Au pia walimu walikuwa wanasahihisha za waislamu kwa hila?? Hii sio rahisi.

Sasa huu ni ujahiri uliopitiliza. Wewe unataka uniambie waislamu hawana akili ndio maana walikuwa wanafeli shuleni? Mbona ndugu watanzania wenzangu mnataka kulifukia tatizo mnalolijua wazi?
 
ukinijibu maswali yafuatayo, ndipo utajua tatizo ni nini.Hivi kuna grade tofauti za ufaulu kati ya wanafunzi wa dini A na dini B? JE tunapoomba kazi, kuna maswali tofauti ya interview yanayoulizwa kitaaluma kwa kuzingatia dini ya mtu?Je kuna katiba ama sheria yoyote,ama sera yoyote ya serikali imeainisha ukuu wa dini yoyote inchini?je ni sahihi serikali ivipuuze vigezo vya kitaaluma katika kupata ajira na ianzishe uajili kwa kuangalia dini ya mtu?je nisahihi tujiulize top two za nyadhifa nchini zimeshikwa na watu wa thehebu gani?je ni sahihi walioko katika top two hizo,wangepingwa na vyama vyao kwakua sio wadhehebu B?vyuoni kuna SAP ama DISCO za kiislam na za kikristo?Ama ninyi bodi ya mikopo mnazingatia dini katika kuendesha shughuri zenu ili dini fulani ikome ubishi? jamani,jamani,watanzania kwanini twajitia upofu wa misingi ya haki iliyo wazi nchini,na kuanza kukomaa na hoja za uchochezi? tukijibu hayo maaswali yote niliyoainisha nidhahiri kuwa si mkristo ama muislamu au mpagani anahaki zaidi ya mwenzake katika fursa za nchi na hakuna serikali kichaa imeyowahi kuwa madarakani na kuruhusu upuuzi kama huo.Watanzania tusiruhusu watafuta maslahi binafsi kupitia migongo ya utetezi wa dini, watuvishe miwani ya mbao tukajikuta tunakokotwa nao, nakusahau kuulinda mustakabali wa inchi, Serikali na udugu wetu imara.MUNGU IBARIKI TZ

Sijaona swali la msingi hata moja hapa mkuu manake kila kitu kimeelezwa humu ndani. Katiba ipo lakini ipo kama kivuri tu wala ili haizingatiwi. Ni mambo mangapi sasa ivi yamo ndani ya katiba lakini yanavunjwa?
 
Mada haina mantiki na ushahidi ni chuki tu.kihistoria waislamu tangu miaka ya awali hawajali elimu ya kuwaendeleza zaidi ni madrasa yaani Elimu ahera.Wakristo kiasili husoma elimu ya maisha zaidi kuliko kukazania dini zaidi.Wakristo hufundishwa dini,upendo,kusameheana na elimu ambayo ndugu zetu waislamu si hivyo.Shule nyingi zilijengwa na Wamishenari kipindi cha ukoloni na si waarabu.Wasomi wengi miaka ya mwanzo wa uhuru walikuwa wakristo.Shule za seminari na hata zinazoendeshwa na wakristo ni bora zaidi kitaaluma kuliko za kiislamu sababu ni uendeshaji bora wa shule,mitaala na ufundishaji.Angalia Kirinjiko,Ubungo Muslim,Kinondoni Muslim,Al Haramain,Istiqama hazijawahi kutoa matokeo mazuri kulinganisha hata na baadhi ya shule za serikali za mchanganyiko hata za jinsia moja.Huu mfumo kristo ni maneno ya kujidanganya,hata wanafunzi wa vyuo wakristo wanafanya vizuri kwa misingi mizuri waliyotoka nayo elimu za chini.Ajira nchini Tanzania haijawahi kuangalia dini ya mtu bali uwezo wa kufanya kazi vizuri.Huu ubaguzi unaletwa na ndugu zetu waislamu kwa mfano IFAKARA HEALTH INSTITUTE ina udini sana na wanapendelea waislamu kuanzia juu hadi chini ni aibu kwa taifa.SIJAWAHI KUSIKIA AJIRA HATA KATIKA MASHIRIKA YA KIMATAIFA NA WATU BINAFSI WANAAJIRI KWA DINI YAKO BALI NI UWEZO WAKO KITAALUMA NA KUFANYA KAZI KWA BIDII ILI ULETE UFANISI .Someni sana,fauluni sana mlitumikie taifa badala ya kuleta uzushi kuwa mwaonewa nafasi nyingi mmeteuliwa lakini bado hamridhiki mnaibuka na ooh serikali inawaonea waislamu kuna nafasi za mashirika ya umma,ukatibu mkuu,uwaziri,ukuu wa mikoa,ukuu wa wilaya,ukuu wa vyuo vikuu.WAKRISTO HAWASEMI CHOCHOTE MUNGU ANAWAPIGANIA WAO HUMUOMBA MUNGU AWALINDE.SIINGIZI UDINI NASEMA HALI HALISI.SIWEZI KUWA ADUI KWA KUSEMA UKWELI.
 
funga thread upuuzi hu we utaki kwenda shule unaleta maneno.wakristu wanatoa mchango na sadaka za kuendeleza mirad ya elimu na afya nyie ikitolewa buku mnabagain.
 
Kilichoandikwa ni kweli lakini kwa wenye nia njema tu. Kama ratio Msingi ni 1:3, Sekondari ni 1:5 na Chuo Kikuu ni 1:14 (kumbuka chuo kikuu kuna na Wazanzibar) basi hapo kuna tatizo. Uwepo mpango wa kuondoa tatizo hilo. Of-course nawaomba wabaguzi kwa kuwa wanajifahamu waache au waendelee kuendekeza ubaguzi ila hakuna marefu yasiyo na ncha. Udini nchi hii uko JUU sana - Jielimisheni.
 
elimu iligawanywa moja ikaitwa ilimu dunia na nyingine ilimu akhera. hivyo basi unahaki ya kuchagua ni ipi ya kufwata. lakini ushauri ni kuwa ukijua neno moja lakiarabu unapata thawabu nyingi sana, ni bora ukifuata ilimu akhera kwani imejaa thawabu. alisikika shekh mstahafu aitwaye rashid takshajara mzaliwa wa mkoani tabora akielezea maisha yake, alisoma ilimu dunia mpaka la saba akafeli, anakiri pia hakujituma kwakuwa ilimu dunia haikuwa na thawabu kwa maisha yake. babu yake akampeleka kusomea madrasa na ndipo kwa miaka mingi alikuwa akiamini anapata thawabu. tukiangalia waanzilishi wa hizi dini pia, utakuta wanasema pia hata mtume hakusoma na hakujua hata kusoma chochote pia, lakini yesu kristo soma na alikuwa anajua kusoma.
inawezekana waislamu hawajasoma kwasababu wanajiskia hivyo lakini kiuhalisia wako fiti kwenye ilimu akhera. sasa hapa ni swala la mentality ya mtu kujikubali.
vatican papa mstahafu benedikti yeye alikuwa ni professa, infact elimu yake ni ya darasani yenye sayansi na akili za kuibadili dunia akaongezea na mafunzo ya dini, yap. akawa fiti.
pia shule nyingi za tanzania zinazolalamikiwa, zilijengwa na makanisa yaani wafuasi wa yesu kristo, kwani elimu hii inawanasayansi wazungu na wayahudi(sio waarabu) wenye asili ya wakristo kama isaac, newton, Albert Einstein, Faradays, celcious hata ukipitia chemisrty na physics huachi kunukuu mara prinspo, mara laws, ni ngumu huko kumkuta shekh.. sijui nani kavumbua nini. japo pengine itokee kwenye wale wenye kuamua ku-convert to uislamu, lakini kwa miaka ya karibuni sana.unadhani kwanini waarabu walipigwa na mayahudi.c hezea mwizraeli wewe?, thank youuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
ukinijibu maswali yafuatayo, ndipo utajua tatizo ni nini.Hivi kuna grade tofauti za ufaulu kati ya wanafunzi wa dini A na dini B? JE tunapoomba kazi, kuna maswali tofauti ya interview yanayoulizwa kitaaluma kwa kuzingatia dini ya mtu?Je kuna katiba ama sheria yoyote,ama sera yoyote ya serikali imeainisha ukuu wa dini yoyote inchini?je ni sahihi serikali ivipuuze vigezo vya kitaaluma katika kupata ajira na ianzishe uajili kwa kuangalia dini ya mtu?je nisahihi tujiulize top two za nyadhifa nchini zimeshikwa na watu wa thehebu gani?je ni sahihi walioko katika top two hizo,wangepingwa na vyama vyao kwakua sio wadhehebu B?vyuoni kuna SAP ama DISCO za kiislam na za kikristo?Ama ninyi bodi ya mikopo mnazingatia dini katika kuendesha shughuri zenu ili dini fulani ikome ubishi? jamani,jamani,watanzania kwanini twajitia upofu wa misingi ya haki iliyo wazi nchini,na kuanza kukomaa na hoja za uchochezi? tukijibu hayo maaswali yote niliyoainisha nidhahiri kuwa si mkristo ama muislamu au mpagani anahaki zaidi ya mwenzake katika fursa za nchi na hakuna serikali kichaa imeyowahi kuwa madarakani na kuruhusu upuuzi kama huo.Watanzania tusiruhusu watafuta maslahi binafsi kupitia migongo ya utetezi wa dini, watuvishe miwani ya mbao tukajikuta tunakokotwa nao, nakusahau kuulinda mustakabali wa inchi, Serikali na udugu wetu imara.MUNGU IBARIKI TZ

kiukweli mkuu umenikosha na hapa ndipo ninapoona tofauti ya jf na mitandao mingine ya kijamii.
ni kweli hawa watu wanatafuta uchochezi tu.
 
Siku hizi ndio naskia waarabu wanajenga vyuo vikuu kule kwao kwa uchache sana hasa wale mabilionea wa mafuta. Na sio serikali zao.

hata hivyo. Zamani kila msomi lazima aende zake Cuba, ulaya magharibi ama Russia kubukua.

In fact. Elimu haina ubaguzi ila kuna watu wanaibagua na kuipa daraja ya chini sana. Na kuweka dini mbele..
Ukizingatia kuwa zipo baadhi ya dini hazitaki kucompromise kuhusiana na baadhi ya tafiti na disciplines za elimu; MFano. Theory of evolution n.k.
Economics(finance) - interest rate.

Democracy and governance,
Human rights,
Gender roles,
Archive, etc

Kukubali ukeketajo ni kosa wakati imani hairuhusu ni ngumu kwakweli.
Only few have managed to hold on...
So ni ngumu MTU kama huyu kuendelea kusoma ikiwa anaona mafundisho yako.kinyume na dini yake na mungu wake.

Wako wale wachache wanaoamini ya kaisari MPE kaisari. Na Hawa ndio wanaibuka vinara Mara zote.
 
Mfumo Kristo:

Ina maana kuwa Allah sio akbar, mpaka ashindwe na Mtume PAULO?
 
Back
Top Bottom